Kutojua Makonda yuko wapi na Hali gani, Hatuna Vyombo vya habari vya Kiuchunguzi
kama huyu mwamba hayupo rikizo tofauti na taarifa zao wanazotuaminisha, ikiwa huyu mwamba amedhurika kwa namna yeyote ile...basi Tanzania si mahali salama pa kuishi binadamu, huwezi mdhuru kiongozi akiwa madarakani alafu wenye mamlaka ya ulinzi na usalama wapowapo tu wanakenua meno na kudanganya umma. Hatuwezi kuwa na amani wala furaha kuishi katika nchi ambayo hata viongozi wake wanadhulika madarakani..tusidanganyane. Watueleze huyu kipenzi cha watu wengi yu wapi??
 
Kuna wakati TUJITAHIDI kupunguza umuhimu kwenye maisha ya watu. Ina faida kubwa sana hii. Usipohusishwa na jambo binafsi basi usijihusishe. Huu ndio uungwana
ni mkuu wa mkoa kama sijakosea so ni public figure hiyo
 
Tunakaribia wiki moja au zaidi baada ya tetesi za kutoonekana kwa Makonda.

Hapa Mimi nimejifunza kwamba ndio maana viongozi huwa wanafanya ufisadi Mkubwa na hatujui, Sasa kama issue ya Makonda tu eti mpaka leo Media zinareport udaku udaku tu na tetesi.

Silaumu lakini nakiri tu kwamba Tanzania hatuna Media za Kiuchunguzi yaani "investigative media" Kama zingekuwepo kungekuwa na issues nyingi sana zinasanuliwa na wahusika wangekuwa wanajiuliza zinavujaje.
hawalipwi hao waandishi,uchunguzi wataufanyaje
 
Tunakaribia wiki moja au zaidi baada ya tetesi za kutoonekana kwa Makonda.

Hapa Mimi nimejifunza kwamba ndio maana viongozi huwa wanafanya ufisadi Mkubwa na hatujui, Sasa kama issue ya Makonda tu eti mpaka leo Media zinareport udaku udaku tu na tetesi.

Silaumu lakini nakiri tu kwamba Tanzania hatuna Media za Kiuchunguzi yaani "investigative media" Kama zingekuwepo kungekuwa na issues nyingi sana zinasanuliwa na wahusika wangekuwa wanajiuliza zinavujaje.
Ukiwa investigative journslist utapotezwa...
 
Back
Top Bottom