raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Unataka kumpa mtu kofi la ufahamu 😄Mzee baba raraa reree vipi tena mbona unacheka kamanda?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka kumpa mtu kofi la ufahamu 😄Mzee baba raraa reree vipi tena mbona unacheka kamanda?.
Raraa-reree like this😁Mzee baba raraa reree vipi tena mbona unacheka kamanda?.
Youtube zimejaza tetesi za kuombea Views tu.Tunakaribia wiki moja au zaidi baada ya tetesi za kutoonekana kwa Makonda.
Hapa Mimi nimejifunza kwamba ndio maana viongozi huwa wanafanya ufisadi Mkubwa na hatujui, Sasa kama issue ya Makonda tu eti mpaka leo Media zinareport udaku udaku tu na tetesi.
Silaumu lakini nakiri tu kwamba Tanzania hatuna Media za Kiuchunguzi yaani "investigative media" Kama zingekuwepo kungekuwa na issues nyingi sana zinasanuliwa na wahusika wangekuwa wanajiuliza zinavujaje.
Tunakaribia wiki moja au zaidi baada ya tetesi za kutoonekana kwa Makonda.
Hapa Mimi nimejifunza kwamba ndio maana viongozi huwa wanafanya ufisadi Mkubwa na hatujui, Sasa kama issue ya Makonda tu eti mpaka leo Media zinareport udaku udaku tu na tetesi.
Silaumu lakini nakiri tu kwamba Tanzania hatuna Media za Kiuchunguzi yaani "investigative media" Kama zingekuwepo kungekuwa na issues nyingi sana zinasanuliwa na wahusika wangekuwa wanajiuliza zinavujaje.
Watanzania mna shida ya akili sana si mshaambiwa yuko likizo mnataka nin sasa,na makonda naona kaamua kutembea na hii kiki
Endelea kupaza sauti ya HAKI.Yaani Wamasai ardhi yao imeuzwa bado wanaulizana,,"Kulikoni?"
Inanikumbusha tulivyokuwa shule ya msingi. Watoto wanacheza. Tupo darasani,wakati uapokaa kwenye kiti,mtu anakiondoa,halafu you go all the way to the floor,unakaa kwenye sakafu. Halafu watu wote darasani wanacheka," Ha ha ha"
Sasa Wamasai majina yao yameandikishwa katika vituo vya kupiga kura ambavyo viko Tanga.
Kuhusu mchongo unakuja wewe. The cry of the people has reached Heaven.
What is happening must be investigated.
wewe mama yako akiwa leba unaweza kutangaza au kumpiga picha na kurusha?Tunakaribia wiki moja au zaidi baada ya tetesi za kutoonekana kwa Makonda.
Hapa Mimi nimejifunza kwamba ndio maana viongozi huwa wanafanya ufisadi Mkubwa na hatujui, Sasa kama issue ya Makonda tu eti mpaka leo Media zinareport udaku udaku tu na tetesi.
Silaumu lakini nakiri tu kwamba Tanzania hatuna Media za Kiuchunguzi yaani "investigative media" Kama zingekuwepo kungekuwa na issues nyingi sana zinasanuliwa na wahusika wangekuwa wanajiuliza zinavujaje.
kumbuka nchi ikiwa haina rais inaongozwa na jeshi mpaka akiteuliwa mwingineHizi habari mbona wajeda wanazo kulikoni?
Taarifa kamili bado ziko chini ya kapeti, ila hivi karibuni watatuambia ukweli haitofichika hvyo kwa muda mwingi.Naogopa
Yes, watu kama huyu ndiyo wanasababisha tuone kuna vijana wamekuja kimakosa duniani.Unataka kumpa mtu kofi la ufahamu 😄
Hiyo hataLIKE amekomenti.Raraa-reree like this😁
Huyu si mtu wa kawaida. Ni kiongozi, ambaye analipwa mshahara kwa Kodi zetu.Kuna wakati TUJITAHIDI kupunguza umuhimu kwenye maisha ya watu. Ina faida kubwa sana hii. Usipohusishwa na jambo binafsi basi usijihusishe. Huu ndio uungwana
anajadiliwa mkuu wa mkoa, makonda ni mkuu wa mkoa au we umesikia teuzi mpya?Kuna shida mahala,siku hizi watu badala ya kujadili issues muhimu tunaanza kujadili mtu.
anajadiliwa mkuu wa mkoa, makonda ni mkuu wa mkoa au we umesikia teuzi mpya?
Huyo mtafuta kiki za kindezi mbona yupo hai na mipango mingi ya upigaji inaendelea?Tunakaribia wiki moja au zaidi baada ya tetesi za kutoonekana kwa Makonda.
Hapa Mimi nimejifunza kwamba ndio maana viongozi huwa wanafanya ufisadi Mkubwa na hatujui, Sasa kama issue ya Makonda tu eti mpaka leo Media zinareport udaku udaku tu na tetesi.
Silaumu lakini nakiri tu kwamba Tanzania hatuna Media za Kiuchunguzi yaani "investigative media" Kama zingekuwepo kungekuwa na issues nyingi sana zinasanuliwa na wahusika wangekuwa wanajiuliza zinavujaje.
Huyo mtafuta kiki za kindezi mbona yupo hai na mipango mingi ya upigaji inaendelea?Tunakaribia wiki moja au zaidi baada ya tetesi za kutoonekana kwa Makonda.
Hapa Mimi nimejifunza kwamba ndio maana viongozi huwa wanafanya ufisadi Mkubwa na hatujui, Sasa kama issue ya Makonda tu eti mpaka leo Media zinareport udaku udaku tu na tetesi.
Silaumu lakini nakiri tu kwamba Tanzania hatuna Media za Kiuchunguzi yaani "investigative media" Kama zingekuwepo kungekuwa na issues nyingi sana zinasanuliwa na wahusika wangekuwa wanajiuliza zinavujaje.