InaboaMtu akiandika kwa namna hiyo. Huwa napata mashaka sana kamaanisha "hana" ila kasahau "h" au kamaanisha "ana"
Namajuzi walipandisha uzi kuhusu vitu vya namna hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
InaboaMtu akiandika kwa namna hiyo. Huwa napata mashaka sana kamaanisha "hana" ila kasahau "h" au kamaanisha "ana"
Namajuzi walipandisha uzi kuhusu vitu vya namna hii
kama japan kuna maneno inategemea umetamkaje ndo mtu afahamu umemaanisha kitu ganiInaboa
Hakika! Sababu niliitazama interview nzima, na hilo ni moja tu ya maswali aliyoulizwa BAKM, hakusema kama ni kipaumbele chake cha kwanza kwenye uongozi wake TLSNa bwege mwingine ni mleta thread.
Hata kijerumanikama japan kuna maneno inategemea umetamkaje ndo mtu afahamu umemaanisha kitu gani
na mambo ya lisu yalikuwa ya mtu binafsi??Mambo ya mtu binafsi tuyaache kwake mtu mwenyewe. Tuchape kazi tuendelee na mengine
Pumbafu kabisa. Unajua maana ya mambo binafsi? Ukishakuwa kiongozi wa umma unawajibika kwa umma.Mambo ya mtu binafsi tuyaache kwake mtu mwenyewe. Tuchape kazi tuendelee na mengine
Makonda ana faida gan kwanza zaid ya kutupigia kelele. Na kutuletea uigizaji naona fungu la mikutano ya kuzalilisha watu limekatwa nasubir ripoti ya cag jiji la arusha tuone ubadhilifu wa mungu mtuTunakaribia wiki moja au zaidi baada ya tetesi za kutoonekana kwa Makonda.
Hapa Mimi nimejifunza kwamba ndio maana viongozi huwa wanafanya ufisadi Mkubwa na hatujui, Sasa kama issue ya Makonda tu eti mpaka leo Media zinareport udaku udaku tu na tetesi.
Silaumu lakini nakiri tu kwamba Tanzania hatuna Media za Kiuchunguzi yaani "investigative media" Kama zingekuwepo kungekuwa na issues nyingi sana zinasanuliwa na wahusika wangekuwa wanajiuliza zinavujaje.
Naungana na wewe kabisa🤔, hizi media inamaana hawana namba yake na kujuwa yuko wapi?? Ni kwamba wanahabari hawako huru kama tunavyooaminishwa??Tunakaribia wiki moja au zaidi baada ya tetesi za kutoonekana kwa Makonda.
Hapa Mimi nimejifunza kwamba ndio maana viongozi huwa wanafanya ufisadi Mkubwa na hatujui, Sasa kama issue ya Makonda tu eti mpaka leo Media zinareport udaku udaku tu na tetesi.
Silaumu lakini nakiri tu kwamba Tanzania hatuna Media za Kiuchunguzi yaani "investigative media" Kama zingekuwepo kungekuwa na issues nyingi sana zinasanuliwa na wahusika wangekuwa wanajiuliza zinavujaje.
Unahangaika na Makonda akati anauwezo wa kujihangaikiaTunakaribia wiki moja au zaidi baada ya tetesi za kutoonekana kwa Makonda.
Hapa Mimi nimejifunza kwamba ndio maana viongozi huwa wanafanya ufisadi Mkubwa na hatujui, Sasa kama issue ya Makonda tu eti mpaka leo Media zinareport udaku udaku tu na tetesi.
Silaumu lakini nakiri tu kwamba Tanzania hatuna Media za Kiuchunguzi yaani "investigative media" Kama zingekuwepo kungekuwa na issues nyingi sana zinasanuliwa na wahusika wangekuwa wanajiuliza zinavujaje.
tuna mtihan sana.kama waweka L badala ya RLakini hawa vijana walivyo wapuuzi, si ajabu amemaanisha BAK Mwambukusi hana cha maana.
Section 4Kumbe na hii ni kazi ya TLS???
Unateseka ukiwa wapiPumbafu kabisa. Unajua maana ya mambo binafsi? Ukishakuwa kiongozi wa umma unawajibika kwa umma.