Kutojua Makonda yuko wapi na Hali gani, Hatuna Vyombo vya habari vya Kiuchunguzi
ndugu IJ nan wa kuifanya kwa hawa media za vyuo vya kimara temboni. journalism??? investigate journalism kwanza inataka pesa.mwandsh aanze kutrace last known where about muda mwingine anafika mbali zaid anasafiri mpaka nchi husika anakod mpaka hotel ya paparazi wake.umaskin ndio unasababisha na vyuo vya kimara tembon college of media
 
Tunakaribia wiki moja au zaidi baada ya tetesi za kutoonekana kwa Makonda.

Hapa Mimi nimejifunza kwamba ndio maana viongozi huwa wanafanya ufisadi Mkubwa na hatujui, Sasa kama issue ya Makonda tu eti mpaka leo Media zinareport udaku udaku tu na tetesi.

Silaumu lakini nakiri tu kwamba Tanzania hatuna Media za Kiuchunguzi yaani "investigative media" Kama zingekuwepo kungekuwa na issues nyingi sana zinasanuliwa na wahusika wangekuwa wanajiuliza zinavujaje.
Makonda ana faida gan kwanza zaid ya kutupigia kelele. Na kutuletea uigizaji naona fungu la mikutano ya kuzalilisha watu limekatwa nasubir ripoti ya cag jiji la arusha tuone ubadhilifu wa mungu mtu
 
Tunakaribia wiki moja au zaidi baada ya tetesi za kutoonekana kwa Makonda.

Hapa Mimi nimejifunza kwamba ndio maana viongozi huwa wanafanya ufisadi Mkubwa na hatujui, Sasa kama issue ya Makonda tu eti mpaka leo Media zinareport udaku udaku tu na tetesi.

Silaumu lakini nakiri tu kwamba Tanzania hatuna Media za Kiuchunguzi yaani "investigative media" Kama zingekuwepo kungekuwa na issues nyingi sana zinasanuliwa na wahusika wangekuwa wanajiuliza zinavujaje.
Naungana na wewe kabisa🤔, hizi media inamaana hawana namba yake na kujuwa yuko wapi?? Ni kwamba wanahabari hawako huru kama tunavyooaminishwa??
Kama wako huru why wasimpigie simu Makonda kujuwa yuko wapi kuondoa hii sintofahamu iliyopo?? Je tuamini kweli kuwa wanahabari wetu elimu ni ndogo??? Au hawako huru, au ni wanafiki?? Au kuandika habari za kiongozi ni hadi wagawiwe bahasha?? Ni aibu kwa wanahabari wa Tanzania.
 
Tunakaribia wiki moja au zaidi baada ya tetesi za kutoonekana kwa Makonda.

Hapa Mimi nimejifunza kwamba ndio maana viongozi huwa wanafanya ufisadi Mkubwa na hatujui, Sasa kama issue ya Makonda tu eti mpaka leo Media zinareport udaku udaku tu na tetesi.

Silaumu lakini nakiri tu kwamba Tanzania hatuna Media za Kiuchunguzi yaani "investigative media" Kama zingekuwepo kungekuwa na issues nyingi sana zinasanuliwa na wahusika wangekuwa wanajiuliza zinavujaje.
Unahangaika na Makonda akati anauwezo wa kujihangaikia

Kumbukumbu


Wakati wa Magufuli

MAKONDa aliwai kupotea pia
Aliporudi akarudi na issue ya Madawa ya kulevya akawataja watu wengi.

So ni kama style Makonda anayoishi nayoo
 
Back
Top Bottom