Kutojua Makonda yuko wapi na Hali gani, Hatuna Vyombo vya habari vya Kiuchunguzi
Kuna maeneo tunapaswa kuacha chokochoko za kisiasa na kuacha kudeal nazo ili tujadili ya msingi.

Suala la Makonda kutoonekana ni la muda tu.
 
03 Agosti 2024

TLS CHINI YA UONGOZI WA MWABUKUSI yaanza na MAKONDA yahoji YUKO WAPI msije mkatuambia amenyakuliwa na GARI


View: https://m.youtube.com/watch?v=dc6n0cAfFa8

Viongozi wa umma taarifa zao kufichwa kwa kutoonekana hadharani ... TLS kutoa tamko asema Boniface Mwabukusi ..

Viongozi walioajiriwa na wananchi huku walilipwa misharahara kutokana na kodi za wananchi hawawezi kujificha kutaka faragha ... wananchi lazima tujuwe wapo wapi.

Chief Odema akakazia hoja John Pombe Magufuli alipotoweka kuonekana walihoji .... pia Dr. Philip Mpango wananchi walihoji na kupewa majibu yasiyoridhisha ... je TLS inasemaje kuhusu hili? Kwako Mwabukusi kama rais, Chief Odema amtupia swali Mwabukusi

Boniface Mwabukusi anasema wao kama TLS watalitolea tamko baada ya baraza kukaa ....

Kwa hiyo ndio kazi ya TLS?
 
Comment za hapa za wanaojiita ma great thinker ni kipimo kinachoonesha Nchi Kuna watu wanatembea hawana vichwa.Mathalani ameulizwa hilo swali mlitaka atoe majibu gani? Tatizo la huyo mwandishi mpuuzi ambae alikuwa Hana Maswali ya maana.
 
Kishwahili kinaumizwa. Unataka kusema ana cha maana (has... ) au hana cha maana (doesn't...). h ni ya maana
Mtu akiandika kwa namna hiyo. Huwa napata mashaka sana kamaanisha "hana" ila kasahau "h" au kamaanisha "ana"

Namajuzi walipandisha uzi kuhusu vitu vya namna hii
 
03 Agosti 2024

TLS CHINI YA UONGOZI WA MWABUKUSI yaanza na MAKONDA yahoji YUKO WAPI msije mkatuambia amenyakuliwa na GARI


View: https://m.youtube.com/watch?v=dc6n0cAfFa8

Viongozi wa umma taarifa zao kufichwa kwa kutoonekana hadharani ... TLS kutoa tamko asema Boniface Mwabukusi ..

Viongozi walioajiriwa na wananchi huku walilipwa misharahara kutokana na kodi za wananchi hawawezi kujificha kutaka faragha ... wananchi lazima tujuwe wapo wapi.

Chief Odema akakazia hoja John Pombe Magufuli alipotoweka kuonekana walihoji .... pia Dr. Philip Mpango wananchi walihoji na kupewa majibu yasiyoridhisha ... je TLS inasemaje kuhusu hili? Kwako Mwabukusi kama rais, Chief Odema amtupia swali Mwabukusi

Boniface Mwabukusi anasema wao kama TLS watalitolea tamko baada ya baraza kukaa ....

Jana Star TV kwangu iligoma kabisa sikuangalia
 
03 Agosti 2024

TLS CHINI YA UONGOZI WA MWABUKUSI yaanza na MAKONDA yahoji YUKO WAPI msije mkatuambia amenyakuliwa na GARI


View: https://m.youtube.com/watch?v=dc6n0cAfFa8

Viongozi wa umma taarifa zao kufichwa kwa kutoonekana hadharani ... TLS kutoa tamko asema Boniface Mwabukusi ..

Viongozi walioajiriwa na wananchi huku walilipwa misharahara kutokana na kodi za wananchi hawawezi kujificha kutaka faragha ... wananchi lazima tujuwe wapo wapi.

Chief Odema akakazia hoja John Pombe Magufuli alipotoweka kuonekana walihoji .... pia Dr. Philip Mpango wananchi walihoji na kupewa majibu yasiyoridhisha ... je TLS inasemaje kuhusu hili? Kwako Mwabukusi kama rais, Chief Odema amtupia swali Mwabukusi

Boniface Mwabukusi anasema wao kama TLS watalitolea tamko baada ya baraza kukaa ....

Kumbe na hii ni kazi ya TLS???
 
Back
Top Bottom