johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mbona ameeleweka vizuri tuKishwahili kinaumizwa. Unataka kusema ana cha maana (has... ) au hana cha maana (doesn't...). h ni ya maana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona ameeleweka vizuri tuKishwahili kinaumizwa. Unataka kusema ana cha maana (has... ) au hana cha maana (doesn't...). h ni ya maana
Umeelewaje?Mbona ameeleweka vizuri tu
Kwa hiyo asingejibu swali aliloulizwa?Angeanza na changamoto za chama chake
BAK Mwabukusi ana cha maana!Umeelewaje?
Lakini hawa vijana walivyo wapuuzi, si ajabu amemaanisha BAK Mwambukusi hana cha maana.BAK Mwabukusi ana cha maana!
03 Agosti 2024
TLS CHINI YA UONGOZI WA MWABUKUSI yaanza na MAKONDA yahoji YUKO WAPI msije mkatuambia amenyakuliwa na GARI
View: https://m.youtube.com/watch?v=dc6n0cAfFa8
Viongozi wa umma taarifa zao kufichwa kwa kutoonekana hadharani ... TLS kutoa tamko asema Boniface Mwabukusi ..
Viongozi walioajiriwa na wananchi huku walilipwa misharahara kutokana na kodi za wananchi hawawezi kujificha kutaka faragha ... wananchi lazima tujuwe wapo wapi.
Chief Odema akakazia hoja John Pombe Magufuli alipotoweka kuonekana walihoji .... pia Dr. Philip Mpango wananchi walihoji na kupewa majibu yasiyoridhisha ... je TLS inasemaje kuhusu hili? Kwako Mwabukusi kama rais, Chief Odema amtupia swali Mwabukusi
Boniface Mwabukusi anasema wao kama TLS watalitolea tamko baada ya baraza kukaa ....
NdioKwa hiyo ndio kazi ya TLS?
Mtu akiandika kwa namna hiyo. Huwa napata mashaka sana kamaanisha "hana" ila kasahau "h" au kamaanisha "ana"Kishwahili kinaumizwa. Unataka kusema ana cha maana (has... ) au hana cha maana (doesn't...). h ni ya maana
03 Agosti 2024
TLS CHINI YA UONGOZI WA MWABUKUSI yaanza na MAKONDA yahoji YUKO WAPI msije mkatuambia amenyakuliwa na GARI
View: https://m.youtube.com/watch?v=dc6n0cAfFa8
Viongozi wa umma taarifa zao kufichwa kwa kutoonekana hadharani ... TLS kutoa tamko asema Boniface Mwabukusi ..
Viongozi walioajiriwa na wananchi huku walilipwa misharahara kutokana na kodi za wananchi hawawezi kujificha kutaka faragha ... wananchi lazima tujuwe wapo wapi.
Chief Odema akakazia hoja John Pombe Magufuli alipotoweka kuonekana walihoji .... pia Dr. Philip Mpango wananchi walihoji na kupewa majibu yasiyoridhisha ... je TLS inasemaje kuhusu hili? Kwako Mwabukusi kama rais, Chief Odema amtupia swali Mwabukusi
Boniface Mwabukusi anasema wao kama TLS watalitolea tamko baada ya baraza kukaa ....
UWT tulie kwanza mpk 2027Tls imeingia cha kike! Kuchagua mwanaharakati badala ya kiongozi
wengi humu ni UWT hata shule hawanaYeye alikuwa anajibu Maswali aliyokuwa anaulizwa… Kumbe ndio maana watu hufeli mitihani ya panzi Ana miguu Mingapi Kwa kutokujua majibu sahihi kutokana na swali husika…
Mwambusi atunyoosheeBAK Mwabukusi ana cha maana!
03 Agosti 2024
TLS CHINI YA UONGOZI WA MWABUKUSI yaanza na MAKONDA yahoji YUKO WAPI msije mkatuambia amenyakuliwa na GARI
View: https://m.youtube.com/watch?v=dc6n0cAfFa8
Viongozi wa umma taarifa zao kufichwa kwa kutoonekana hadharani ... TLS kutoa tamko asema Boniface Mwabukusi ..
Viongozi walioajiriwa na wananchi huku walilipwa misharahara kutokana na kodi za wananchi hawawezi kujificha kutaka faragha ... wananchi lazima tujuwe wapo wapi.
Chief Odema akakazia hoja John Pombe Magufuli alipotoweka kuonekana walihoji .... pia Dr. Philip Mpango wananchi walihoji na kupewa majibu yasiyoridhisha ... je TLS inasemaje kuhusu hili? Kwako Mwabukusi kama rais, Chief Odema amtupia swali Mwabukusi
Boniface Mwabukusi anasema wao kama TLS watalitolea tamko baada ya baraza kukaa ....
huyu ni BAK?BAK Mwabukusi ana cha maana!