Kutoka Bungeni: Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa wapitishwa kuwa Sheria

Hii imenikumbusha kisa cha Habili Na Kaini kweny Bible. Kaini baada ya kuona mwenzake ametenda vyema na akapata kibali akafikiria kumuua kwa kuhisi kwamba hata pata competition tena mwisho wake akaishia kupata adhabu kubwa mno. Kwasababu pia Mungu ali mtahadharisha mapema kuwa "Kama ukitenda vyema hutapata kibali!?"
Sasa kama serikali itafikiri kuua upinzani ndo kuleta maendeleo ngoja wajaribu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe JPM hakukosea kumtumbua huyu kilaza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…