Kutoka Bungeni: Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa wapitishwa kuwa Sheria

Nyumba ikipata na hitilafu unaifanyaje mkuu?


MAGUFULI4LIFE
Kama ni nyumba ya CCM lazima uite mafundi wengi kuja kuiokoa kwani CCM hakuna mtu mwenye uchungu na Tanzania wote wapo kwa ajili ya matumbo yao
 
Kama kiongozi ni mshirikina, na anaamini asingeupata uongozi alionao bila msaada wa mganga, basi maisha yake yote atawashukuru waganga, sababu siku zote ataamini kwamba, hata wapiga kura wasingempigia bila msaada wa mganga.
 
Ishakuwa hivyo. Mpumbavu ashakuwa.

Mshauri mkuu wa mtukufu malaika toka chato ni Naibu Rais ndugu Daud Arbaty Bashite hana vyeti na mtukufu mwenyewe ile PhD yake ilichambuliwa na Ben Sanane akapotezwa na Bashite na kikundi chake, jiulize sasa mshauri wake mkuu hana vyeti na yy mwenyewe PhD yake full utata unategemea nini hapo?
 
Wanaweza kuwa hawajafanya ushirikina ila wamewatisha jamaa kuamini hivyo kwa ujumbe feki na kumuingiza bundi mjengoni ili yao yaende.
Kitendo cha wao kutishiwa na kuamini ....... kama ni kweli, basi hapo ndipo kwenye tatizo!!
 
Huyu chawene ni bure kabisa. Ina maana hajui maisha yalikuwaje kabla 1992. Ngoja ni mdokezee kama alikuwa bado mtoto. Kabla 1992 kulikuwa na hamisha hamisha ya watu toka vijiji vya asili na kupelekwa uhamishoni vijiji vya ujamaa. Watu wengi walipata njaa na wengine kuliwa na wanyama kama simba.
Miaka ile ya mwanzoni mwa 1980 na kuendelea kulikuwa na shida kubwa ya mahitaji muhimu watu walikuwa wana amka alfajiri saa kumi kuwahi foleni ya bidhaa muhimu madukani na kuishia patupu kwa bidhaa hizo kuto pelekwa kama ilivyo tarajiwa.
Moja ya sababu ya kuanzisha vyama vingi ni kukubali mabadiliko baada ya kuona chama kimoja sera zake ni pofu na zinakosa chama cha kukikosoa. Chawema ulikuwa unavalishwa napi wakati huo kwani unakoelekea ni kutafuta huruma ya mkuu akurudishe kwenye neema.
Tulikuwa tunavaa suruali vitambaa vya mpira toka Msumbiiji no choice na mashati juliana toka Burundi. Yote haya yalitokea kabla ya vyama vingi na sijui kama unaelewa kwani tuliweza kuwa na mzee ruksa. Hii ilitokana na shida na umasikini kukithiri kwa sababu ya ukiritimba wa chama kimoja hadi pale huyu babu aliposema kama mbwai naiwe mbwai na kutoa ruksa ya kuagizia na kufanya biashara kwa mapana. Nakujuza haya uwache kupotosha watu kuwa vyama vingi vimeleta shida. Hivi ubinafsishaji wa viwanda na kugawana nyumba za serikali ulifanywa na vyama vingi au serikali iliyoko madarakani toka uhuru. Acha uwongo ndio maana mkuu anachukua madokta na maprofesa ninyi wengine ni bure mlichangia kumrubuni mzee wa Msoga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Bunge la Walozi, Vigagula na Misukule ya Magufuli....!!
Nchi iko kwente Ze Laiti tlaki.....!!Tunajenga Flaiova, EsjiR,Stigla Joji na Mabalabala ya kiuongo cha Lami.
Msema kweli ni mpanzi wa mungu...!!
 
Nchi inaelekea kuzuri sema akili zenu ndo zinaenda shimoni.
Siku nyingine tumia akili mimi silipwi hiyo buku 7 na hauwezi kuthibitisha kazi kuropoka tu.
 
Nchi inaelekea kuzuri sema akili zenu ndo zinaenda shimoni.
Siku nyingine tumia akili mimi silipwi hiyo buku 7 na hauwezi kuthibitisha kazi kuropoka tu.
 
Tanzania imekuwa nchi ya chama kimoja, now and then ........ asilete sababu za kushindwa!!

Rais kishatuahidi kuwa ataifanya Tanzania kuwa kama Ulaya ............!!
 
Kuna tatizo kwa wasomi wetu, kuna tatizo kwa viongozi wetu, kuna tatizo kwa wananchi yetu. Wasomi wetu wameshinda mitihani yao lakini utadhani waliiba mitihani. Viongozi wetu wamechaguliwa na kutangazwa washindi lakini utadhani aliyetangazwa sie huyo aliyeshinda. wananchi wetu wanayohaki ya kugombea na kuchagua viongozi wao lakini utadhani wamezuiwa. Haya ndiyo matokeo.
Unapomsikia kiongozi mwenye degree, tena ya sheria anatamani mfumo wa chama kimoja, unajiuliza, yeye sheria alisomea wapi? Unapomsikia kiongozi na msomi wetu anaamini uchumi wa china umekuwa kwa sababu ya chama kimoja, unajiuliza alisomea wapi?

China wana wasomi wanaojitabua, china wanaweza kuuza madawa ya kulya kwenye nchi za watu wengine lakini kwao hapana, china wamefungua mipaka yao kwa uwekezaji wa nchi za magharibi lakini wanatumia bidhaa walizozalisha wenyewe. China wanaweza kuwatumikisha watu wao kama punda kwa ujira mdogo na sehemu kubwa ya mapato yatokanayo na mtu huyo yakaimarisha chama cha kikomunist cha china!

Halafu mtu anaamini kukua kwa uchumi wa china ni kwa sababu ya kuwa na chama kimoja! Uchumi wa china ni uchumi mdogo sana ukilinganisha na chumi kubwa duniani. Ukuangalia GDP ya china na Mrekani unazidiana kidogo. Ukiangalia per capita GDP ya china na Marekani au Japani tofauti yao ni mbingu na dunia. Kiongozi anabwatuka chama kimoja ndicho kimefanya uchumi wa china ukue. Hii sio sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…