Kutoka Bungeni: Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa wapitishwa kuwa Sheria

Wenyewe wanadhani wanawakomoa upinzani.
Mungu tupe uhai mrefu ili tuone watu wakijutia maamuzi yao
Shida yao Mbowe ang'ooke....

Zitto ang'ooke...

Lowassa na Sumaye warudi Ccm..

Then we remain eating their filthy stinky politics for years..

Yote haya inabidi yatimie mwaka huu before 2020.
 
Kwa ajili ya yule bundi wa bungeni au?....... Chadema haina ubavu wa kuvuruga amani!
Kumbe unatambua Tanzania ni nchi ya utulivu,tulia hapohapo.Kwa hiyo Mbowe akiondoka "nchi haitatawalika?"

Sent using Jamii Forums mobile app
Sheria zinazopitishwa kwa nia ya kukomoa au ku favour kundi fulani, haziisaidii nchi bali kujifurahisha nafsi.

Siku tutakapoongozwa na hekima tutaisaidia mama Tanganyika. Mengine haya ni usanii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema hii ife tu. Ni janga la taifa.
Majanga:
1. Ujinga
2. Umasikini
3. Maradhi
4. Chadema.
 
CCM mtaukumbuka huu Mswada wa Vyama vya Siasa!!.
 
Hapa ndo inabidi Zitto & Company aende mahakamani kupinga vifungu ambavyo vinapingana na katika.
 
Na, Mwl, Osunga Pasaka Jr.
ZITTO KABWE ULITAKA HITLER AFANYEJE??
Nimepitia mitandao ya kijamii nikaona tweet ya huyu kijana akidai haya yalifanywa na Hitler?

Hivi kweli unamjua Hitler?

Mara baada ya vita vya kwanza vya dunia 1914-1918, Hitler pamoja na rafiki yake Austria walishindwa vibaya, hali iliyosababishwa na usaliti wa rafiki yao wa karibu Italy aliyeamua kuondoka kwenye vita kwa zawadi nono aliyoahidiwa.
Baada ya vita hivyo kilifuatia kikao cha amani pale Versaille, mji uliojirani na Paris Ufaransa.
Katika kikao hicho kilichokuwa cha upande mmoja (Tripple entete) kilichoshutumu ujeruman kama waanzilishi wa vita kiliweza kuja na maazimio yafuatayo:

a) Ujerumani kulipa uharibifu uliojitokeza zaidi ya dollar milioni 6.5
b) kurejesha Alsace na Lorraine kwa Ufaransa( kumbuka wakati wa Franco Prussian war)
c) Kutojihusisha na utengenezaji wa silaha za aina yoyote.
d) Kutokuwa mwanachama wa league of national (Ingawa alikubaliwa baadae).
Nk.

Baada ya vita hivyo Ujerumani ilikuwa chini ya Kaizer ambaye aliisababisha kuingia tena kwenye mtikisiko wa kiuchumi wa mwaka 1929-1933.
Hali hii ikasababisha mwanaume Hitler kuibuka na kusema Ujerumani imeshindwa vita vya dunia kwa sababu ya unafiki wa Wayahudi( kumbuka Wewe Zitto Ujeruman ndo nchi iliyokuwa ikitumia he badala ya she kama nyingine za dunia)
Aliibuka kuitangazia dunia kuwa Ujerumani bado ni strong state ( sense of nationalism) na kwa kuwa kulikuwa na vibaraka wa kiingereza na mataifa mengine ya mlengo wa kibepari aliamua kupitisha sheria hiyo kwa maslahi mapana ya nchi?

Nakuuliza ingekuwa Wewe ungeendelea kuwaacha akina Kaizer waharibu nchi?

Kipindi watu wako bungeni mnatembea Ulaya kuhubiri ushoga, na kulitukana taifa, Ingekuwa Hitler angewaacha????
Acha kusahau mapema Hitler unayemzungumzia ameipata Ujerumani iliyo imara baada ya kutengenezwa na mtu aliyeitwa Chancellor Ottoman Bismarck, ambaye aliamua kufuta kabisa bunge kwa sababu walikuwepo akina Zitto waliopinga Muungano wa Ujerumani nae alisema
"The great question of the day cannot reached by majority resolution but by blood and iron" akalifuta bunge na akafanikiwa 1870's kutengeneza Ujerumani ya Leo.

Zitto tafadhali brother usipende kutumia mifano ya nje ukifikiri Watanzania wrote hatusomi,
Nenda kajipange Upya, Spika ndugai leteni sheria ya kufuta wazururaji walioko huko ulaya muwafute kabisa........
Tunataka maendeleo siyo uzindaki.
Mwl.Osunga Jr.
0756231744
 
Kweli wahenga walinena, mfadhili Punda Binadamu hana shukrani; yaani leo hii Lipumba anaandikwa hivi kwa kazi yote hiyo...
 
Mbona humtaji Cheyo "aliyejimilikisha" UDP yake??

Wala humtaji Mrema anayeiendesha TLP kama Chama chake binafsi??

Wewe kada wa Lumumba umemuona Mbowe tuu??
 
Lusinde na Msukuma ni kati ya wanafunzi waliokuwa wanapenda vipibdi vya michezo, kutumwana walimu kwenda kusaga mahindiashineni, kwenda kujenga vyoo vya walimu na ndiyo image ya wabunge wa CCM! Wote wawili they feel inferior kuishia standard 7, sio standard 7 tu ni standard 7 wasiojitambua.
 
Mswaada wa kuuwa upinzani nao utafail tu sawa na mengine mfano manunuzi ya Malaya wa kisiasa, kuzuia bunge live,kuzuia local channel, kuwatumia wajasiliadini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikiwa mwana CCM kwa muswada huu kwa mara ya kwanza sitakipigia chama changu kura kwa uchaguzi wowote. Hata liwekwe jiwe na mwana CCM nitalipigia jiwe. Nakipenda chama changu ila sipendi kwa yanayoendelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…