Kutoka Bungeni: Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa wapitishwa kuwa Sheria

Mbona humtaji Cheyo "aliyejimilikisha" UDP yake??

Wala humtaji Mrema anayeiendesha TLP kama Chama chake binafsi??

Wewe kada wa Lumumba umemuona Mbowe tuu??
Usimsahau Lipumba ambaye alisaidiwa kabisa kutwaa uongozi tena kinyume cha taratibu za chaa chake.
 
Yaani Tanzania tumekuwa watu wa ajabu sana!!. Tunashangilia kuchukuliwa madaraka kutoka kwa wananchi walioamua kuanzisha chama chao kisheria na kupelekwa kwa mtu ambaye kachaguliwa na wanasiasa ambao sio wanachama. Halafu watu haohao wanakuja kujiuliza baadae kwanini upinzani hauna nguvu au kwanini hatuna mawazo mapya ya maendeleo? ukiangalia vizuri adui wa maendeleo yetu kwa asilimia kubwa ni sisi wenyewe.
 
Mungu sasa muda umefika umuondoe jiwe toka madarakani
 
Kwa hiyo kwa kiherehere chako umeona chadema tuu..
Hakuna vyama vingine?
 
Unaua vyama vya siasa. Dikteta aimarishe vyama asivyotaka vifanye kazi zao hadi 2020?


muswada huo unalenga pia kuviimarisha zaidi vyama vya siasa...

Sasa upinzani mnacho lalamika ni kitu gani sasa... Kama mswada wenyewe ukipita unaenda kuimarisha vyama vya siasa?
 
Mswaada wa hovyo kabisa kuwahi kutokea katika nchi hii, yaani hata ule wa kutoa takrima ni nafuu
unajuwa hawa ccm hawana watu makini kabisa walio baki ccm ni wachumia tumbo tu. ndio maana wanatunga sheria za kugandamiza wananchi huku wakisahau kuwa wananchi hao hao ndio wanalipa kodi zinazo wapa kiburi. sasa ni wakati wa wananchi kuugana na kuwakataa hawa wezi na mafisadi waisio kuwa na haya wanao jiita ccm.
 
Ccm ina nafasi ya kutawala mda mrefu sana. Itatawala mda mrefu zaidi endapo hakutaibuka upinzani wa ndani usiodhibitika.
 
CCM lini Mlichagua Mwenyekiti?
Kama ni chaguzi Sasa hata CCM mtauona Moto wake Kina Salim mliwaita si Raia,
Amani na Bilal Chiligati akaokoa Jahazi Dodoma.. 😂
Hawajawai chagua lakini bora yao hazidi miaka 10 ndugu
 
Dah! Hii nchi! Sijui nini kinachoenda kutokea baada ya hili.
 
Mkifanikiwa kuua upinzani wa nje, itakuwa ndio mwanzo wa kuwa na upinzani wa ndani ambao ni mbaya zaidi kuliko wa nje. Kumbukeni, you are united now because you have common enemies out there.

Hawalijuwi hilo kuwa baada ya hapo wataanza kupinduana wenyewe kwa wenyewe, wakati utasema tusubiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…