Kutoka Bungeni: Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa wapitishwa kuwa Sheria

Kutoka Bungeni: Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa wapitishwa kuwa Sheria

Mswaada wa hovyo kabisa kuwahi kutokea katika nchi hii, yaani hata ule wa kutoa takrima ni nafuu
Hahahaaaa dah umenikumbusha mbali sana mzee dah jamaa hawajielewi kabisa hawa.
Yaani wamekosa haya kabisa walahi
 
Unasubiri vurugu! Kwahiyo mnafanya uhuni wenu ili kuwachochea wapinzani wenu wafanye vurugu. Sasa hapo mvuruga amani ni nani?!

Kwani wewe siku zote hizo hujamfahamu anayeelekea kuvuruga amani hapa nchini mbona anajulikana na watanzania wote siku nyingi.
 
Huo mswada uliopitishwa hauna maana kabisa ngoja tusubiri tuone kama mswada uliondaliwa na Jiwe kama kutakuwa na maana yoyote au ujinga tu.wa kukandamiza upinzani.
 
Kwa mujibu wa mwakilishi wa TLS wakili msomi Jebra Kambole aliyehojiwa na ITV amesema sasa vyama vinavyoishi bila kufanya uchaguzi wa viongozi wake na wale viongozi wa maisha siku zao zinahesabika kwani sasa msajili wa vyama vya siasa amepewa rungu na sheria mpya.

My take
Chadema na Mbowe jiandaeni kisaikolojia
Maendeleo hayana vyama!
Yawezekana kabisa hiki chama.kina matatizo yake kama kilivyo chama.kilichopo madarakani, lakini kama tunafikiria kukiondoa ndio suluhu ya matatizo yanayotukabiri kama nchi basi ni dhahiri shahiri tumechanganyikiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kilichotokea leo ni cha muhimu sana na historia itajirudia muwe tayari ZENEZULA HIYO THIS TIME the great april26 is inevitble
 
Mswaada wa hovyo kabisa kuwahi kutokea katika nchi hii, yaani hata ule wa kutoa takrima ni nafuu
Pole! Naona sasa brain inatumia Lissu operating system. The same language, same phraseology, unfortunately, the same lack of reasoning.
 
Bunge limepitisha sheria ya vyama vya siasa ambapo sasa vyama vya siasa vitapaswa kupeleka mahesabu kwa msajili.
Sasa vyama vya siasa vitatakiwa kutoa taarifa ya fedha wanazopewa na wafadhili.

Vyama haviruhusiwi kuwa na vikundi vya ulinzi

Wanafunzi wa vyuo vikuu hawatakiwi kushiriki siasa wawapo chuoni

Msajili wa vyama vya siasa anaruhusiwa kuingia katika mkutano wa chama chochote cha siasa na anaweza kusimamia uchaguzi wa chama chochote cha siasa.

Source ITV habari!
Hii italeta vurugu ndani ya vyama vya upinzani hatimae kuvidhoofisha maana msajili yuko upande wa ccm watahakikisha wanamtangaza pandikizi lao ndani ya vyama vya upinzani Hii ni mbaya huu mswada una hila za wazi kumbe siasa ni hila?
 
Kwa mujibu wa mwakilishi wa TLS wakili msomi Jebra Kambole aliyehojiwa na ITV amesema sasa vyama vinavyoishi bila kufanya uchaguzi wa viongozi wake na wale viongozi wa maisha siku zao zinahesabika kwani sasa msajili wa vyama vya siasa amepewa rungu na sheria mpya.

My take
Chadema na Mbowe jiandaeni kisaikolojia
Maendeleo hayana vyama!
Kwani Mbowe asipokuwa Mwenyekiti Chadema itakufa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom