Hahahaaaa dah umenikumbusha mbali sana mzee dah jamaa hawajielewi kabisa hawa.Mswaada wa hovyo kabisa kuwahi kutokea katika nchi hii, yaani hata ule wa kutoa takrima ni nafuu
Unasubiri vurugu! Kwahiyo mnafanya uhuni wenu ili kuwachochea wapinzani wenu wafanye vurugu. Sasa hapo mvuruga amani ni nani?!
watakuja kugundua kuwa walikosea baada ya kufika kwenye non-return point.Hawalijuwi hilo kuwa baada ya hapo wataanza kupinduana wenyewe kwa wenyewe, wakati utasema tusubiri
Yawezekana kabisa hiki chama.kina matatizo yake kama kilivyo chama.kilichopo madarakani, lakini kama tunafikiria kukiondoa ndio suluhu ya matatizo yanayotukabiri kama nchi basi ni dhahiri shahiri tumechanganyikiwaKwa mujibu wa mwakilishi wa TLS wakili msomi Jebra Kambole aliyehojiwa na ITV amesema sasa vyama vinavyoishi bila kufanya uchaguzi wa viongozi wake na wale viongozi wa maisha siku zao zinahesabika kwani sasa msajili wa vyama vya siasa amepewa rungu na sheria mpya.
My take
Chadema na Mbowe jiandaeni kisaikolojia
Maendeleo hayana vyama!
Unadhani ni sahihi au sio sahihi kuwepo kwa kiongozi wa kudumu wa chama, na kutokuwa na uchaguzi wa viongozi wa chama,kwahiyo mmebadilisha sheria kwa ajili ya kumkomoa mbowe au kwa ajili ya kuisaidia tanzania kusonga mbele?
Acheni kutisha watu, iondoke kwa kitu gani hasa?Unaweza kuwa mwisho wa wewe kuishi kwa utulivu.
Sas we unadhani why walitunga Cdm ndo chama oekee kilichobaki kisiki na shida kwa ccmKama sheria inatungwa kwa sababu ya Mbowe basi serikali hii ni ya hovyo kuwahi kutokea toka tupate uhuru kwa wakoloni weupe
Sent using Jamii Forums mobile app
Umazu humzia cham kipi kama.ni cdm.mbona wanafanya uchaguziUnadhani ni sahihi au sio sahihi kuwepo kwa kiongozi wa kudumu wa chama, na kutokuwa na uchaguzi wa viongozi wa chama,
Sent using Jamii Forums mobile app
CDM Mwenyekiti mbowe tu tangu zamani, TLP Mrema, CUF Lipumba au huo uchaguzi wa wagombea wa ubunge?Umazu humzia cham kipi kama.ni cdm.mbona wanafanya uchaguzi
Pole! Naona sasa brain inatumia Lissu operating system. The same language, same phraseology, unfortunately, the same lack of reasoning.Mswaada wa hovyo kabisa kuwahi kutokea katika nchi hii, yaani hata ule wa kutoa takrima ni nafuu
Hii italeta vurugu ndani ya vyama vya upinzani hatimae kuvidhoofisha maana msajili yuko upande wa ccm watahakikisha wanamtangaza pandikizi lao ndani ya vyama vya upinzani Hii ni mbaya huu mswada una hila za wazi kumbe siasa ni hila?Bunge limepitisha sheria ya vyama vya siasa ambapo sasa vyama vya siasa vitapaswa kupeleka mahesabu kwa msajili.
Sasa vyama vya siasa vitatakiwa kutoa taarifa ya fedha wanazopewa na wafadhili.
Vyama haviruhusiwi kuwa na vikundi vya ulinzi
Wanafunzi wa vyuo vikuu hawatakiwi kushiriki siasa wawapo chuoni
Msajili wa vyama vya siasa anaruhusiwa kuingia katika mkutano wa chama chochote cha siasa na anaweza kusimamia uchaguzi wa chama chochote cha siasa.
Source ITV habari!
Kwani Mbowe asipokuwa Mwenyekiti Chadema itakufa?Kwa mujibu wa mwakilishi wa TLS wakili msomi Jebra Kambole aliyehojiwa na ITV amesema sasa vyama vinavyoishi bila kufanya uchaguzi wa viongozi wake na wale viongozi wa maisha siku zao zinahesabika kwani sasa msajili wa vyama vya siasa amepewa rungu na sheria mpya.
My take
Chadema na Mbowe jiandaeni kisaikolojia
Maendeleo hayana vyama!
Kila upatapo nafasi ya kumtaja Mbowe lazima umtaje, unatutia wasiwasi tudhani kuwa ulipokuwa Bavicha ulitamani akupite na akakuacha hivyo ndio chanzo cha chuki zakoKumbe unatambua Tanzania ni nchi ya utulivu,tulia hapohapo.Kwa hiyo Mbowe akiondoka "nchi haitatawalika?"
Sent using Jamii Forums mobile app