BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Una ufinyu wa akili wewe! Mmejaribu kuingiza vikaragosi vyenu mmeshindwa, mkatabiri kifo lakini hakikutokea. Sasa huko kwenu kwenye democracy kwanini hamuwapi form wote wanaotaka kugombea uenyekiti wa chama? Kwanini mnamuhofia Membe?
ANALYSIS: Bashiru, Membe and CCM tradition
ANALYSIS: Bashiru, Membe and CCM tradition
Kuna dikteta zaidi ya yule alienyofowa kipengele cha ukomo wa uongozi na akaweka kipya hakuna mwanachama kwenda mahakamani kuhoji ukihoji unafukuzwa chama!