DAR si LAMU
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 2,928
- 551
kuwekwa mbele nafikiri ni kwa maana kwamba chama kitumikie serikali (ndio maana chama kimewekwa mbele) maana lazima uwe na chama kuendesha serikali (najua pia kuna independents) lakini kwa mtazamo wangu ni kwamba ukiweka serikali mbele, then itabidi utumikie chama !
..this reads like a spin to me!