Kutoka Butiama: Exclusive news

Kutoka Butiama: Exclusive news

mkuu kipengele cha 13 hadi 21 mbona hujaviorodhesha?

Lengo lake lilikuwa kwenye bold, sasa ulitaka a-quote vipengele vyote hata vile ambavyo havihusiani na kile alichokuwa amedhamiria kukisema? Kwani maana ya quotation ni nini?
 
Moto ukiwaka Butiama wananchi wengi wanaweza kujawa imani na ccm,kitu ambacho naona ni kigumu.Lakini kama wataendelea na Undugulism + Ushogalism =Mizaha mingi then moto utakiwakia chama cha mapinduzi.
This is a golden chance to ccm,kutokana na eneo mlilokwenda kufanyia mkutano wenu then mlete fyongo kweli mtakua mmemfedhehesha baba wa taifa na taifa kwa ujumla wake.TAKE CARE.
 
Another day another charade and hypes

Hivi wewe MKJJ na kaili zako unaamini kuwa there will anything new from these people?

Give me a break man,

JK is banking on boring us all to death and battering us into submission, with the help of a largely compliant media.

How about using your useful time kutuletea habari ambazo JK and his henchmen hawataki tujue


There is more to life than talking about a bunch of dinosaurs who cant even work out namna ya kumkwamua mwananchi wa kawaida., unfortunatly the so called educated elite Tanzania ambo wana access to internet are too lazy or stupid to take a note kuwa haly ishakuwa critical , either that or they are the paid up members of the state supported layabouts and civil servants who are having a wonderful time being looked after by this government, and therefore have a vested interest in maintaining the status quo
 
CCM ina takriban wanachama mln 4 nchi nzima sawa na ailimia 40 ya wapiga kura wote nchini hawa wote wanafiki na matahira ?

Haya mutueleze chama kizuri kisichokuwa na wanafiki na wazalendo?
 
yote ni sehemu ya uchambuzi wa habari Mtu wa Pwani, kwani nani kasema tuko katika mashindano? Tatizo ni nyinyi ambao mnasubiri mwanakijiji aboronge ili mumshushue lakini akiwa sawa mnapata kigugumizi. Well, nimejifunza kuishi na pande zote mbili za maisha.

kwii kwii kwiii

loh umenifanya nicheke sana mkjj

sawa u made my day
 
Ngoja tusubiri matokeo,labda kule kuzuru kaburi la hayati Baba wa Taifa kutafanya waoge maana wananuka ufisadi
 
Yetu masikio, kama watatekeleza majukumu yao...Nimenote kitu cha ziada hapa mkuu,uchama dola wa ccm,yaani hata sasa ccm ndio msimamizi wa shughuli za usalama wa Taifa ndani ya mfumo wa vyama vingi!!!! na je siku kisipokuwa chama tawala NEC itaendelea kuwa na jukumu hilo?

Duu... hii kali, inawezekana ikawa kweli USALAMA WA TAIFA uko chini ya chama. Ila ile Sheria ya TISS haionyeshi hivyo. wonderful
 
Kama kumiwiva mboni hamjaweka kwenye sahani ,inaonesha bado ndio kwanza kunatokota ,pengine bado kabisa hata hakujaanza kupata joto na kutoa mvuke ,maana hata harufu hakuna ni masimbi tu !!!
 
Mzee MWANAKIJIJI
Kama kikao hicho cha BUTI AMA itatokea nyumba ya mafisadi lisisalie jiwe juu ya jiwe,YOTE yaondoshwe,Basi ni hatua njema kwa mstakabali wa Taifa letu hasa katika uchumi wetu na maendeleo kwa ujumla.

Pia kubomoa hiyo nyumba ya mafisadi na msingi wake nachelea kusema inahitajika gharama kubwa ya Mtukufu Rais kujikana kwa dhairi mbele ya mikutano hiyo ya chama na kubeba tena dira iliyoanguka shimoni MWA EPA NA RICHMOND ya kuwaletea wananchi maisha bora kuelekea kupunguza bei ya umeme na mafuta ya petrol ili wadanganyika waone wanaishi nchini kwao
 
hawa jamaa wamekwisha hata wafurukute vp hawatatuchomeka tena, wamejisahau sana, we jilitu limeshakuwa likubwa hivi (chama chenyewe-ccm)
1. utawezaje, kula bila kutolewa macho na wengine, kugawa chakula kwa wote huwezi na kujikausha kuwa we ndo wamuhimu kula na wengine si muhimu pia haiwezekani kila mtu ataka kula bwana
2. huyo jamaa mwenyekiti anachekesha kujifanya kutunza siri, kutunza tena siri haiwezekani kwa likitu likubwa kama ccm ambalo limeshapofuka na halioni tena wala haliwezi kukimbia maana limevimbiwa-liko obese, aongee tu hadharani maana hao hao walioko kwenye kikao na ambao hawapati mgao na wamechoka kuburuzwa na wenye hamu ya nafasi, watazitoa hizo siri tena bila hata malipo


JAMANI HAKIKISHENI HAWATUCHOMIKI HAWA....... ZIBENI HATA TUNDU LA SISIMIZI...
 
Mzee MWANAKIJIJI
Kama kikao hicho cha BUTI AMA itatokea nyumba ya mafisadi lisisalie jiwe juu ya jiwe,YOTE yaondoshwe,Basi ni hatua njema kwa mstakabali wa Taifa letu hasa katika uchumi wetu na maendeleo kwa ujumla.

Pia kubomoa hiyo nyumba ya mafisadi na msingi wake nachelea kusema inahitajika gharama kubwa ya Mtukufu Rais kujikana kwa dhairi mbele ya mikutano hiyo ya chama na kubeba tena dira iliyoanguka shimoni MWA EPA NA RICHMOND ya kuwaletea wananchi maisha bora kuelekea kupunguza bei ya umeme na mafuta ya petrol ili wadanganyika waone wanaishi nchini kwao

NINGEPENDA UNISAIDIE KUTO TUMIA HILI NENO mtukufu rais
 
Hivi hata nyeti za kikao zimeshindwa kutufikia kirahisi,Nafikiri tunatakiwa kuwa karibu ilituweze kupata ukweli zaidi kinachoendelea ili nasi tusijedanganywa.
 
Neno MTUKUFU Linawapa shida sana kwa wale wenye kuwa na imani imara na dini zao kwani waumini wa dini wanajua neno hili halistahili kwa mwanadamu kuitwa kwani wanadamu wanakosea mambo mengi sana ambayo yanawaondolea sifa ya kutumia jina hilo,Ndio maana mhe. Mkapa alilikataa kabisa jina hilo.
 
Hivi hata nyeti za kikao zimeshindwa kutufikia kirahisi,Nafikiri tunatakiwa kuwa karibu ilituweze kupata ukweli zaidi kinachoendelea ili nasi tusijedanganywa.

TUANDAME.
Nakushauri wewe usiyejua maana ya neno mtukufu na linatumika wapi ukabukue wala si kupekua.Nimelitumia na nina uhakika JK ana sifa ya kuitwa hivyo.Au ulidhani linatumika Kenya tu????
 
TUANDAME.
Nakushauri wewe usiyejua maana ya neno mtukufu na linatumika wapi ukabukue wala si kupekua.Nimelitumia na nina uhakika JK ana sifa ya kuitwa hivyo.Au ulidhani linatumika Kenya tu????

nadhani kuna mengi ya muhimu ya kujadiliwa hapa JF zaidi ya kujadili utukufu wa mtukufu wako.. nafunga rasmi mjadala wa mtukufu wako
 
Ngoja tusubiri matokeo,labda kule kuzuru kaburi la hayati Baba wa Taifa kutafanya waoge maana wananuka ufisadi

kama watu wamefikia hatua ya kumtukuza nyerere kiasi hiki, nadhani next step itakuwa kumwabudu !
 
Wanajiandaa kutoka kwa ajili ya chakula cha mchana,inasemekana wengine wamikuja na vyakula pamoja na wapishi wao,hakuna kuaminiana kwenye vikao vizito vya CCM amesikika kigogo mmoja akiteta pembeni.
 
Back
Top Bottom