Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Yaani ccm sijui watatokea wapi? Zee LA Jana, Zee LA asubuhi pamoja na hili lijamaa yanaongea wimbo Wa ukawa wakati wapo humohumo tangu jana wanampiga Vijembe boss Wao.
 
Wamachinga naona mwaka huu wamekua deal kwenye majukwaa ya kutangaza nia.
Ila baada ya uchaguzi amsha amsha ya mgambo wa jiji itabaki palepale, inasikitisha!
 
Ameshakujibu, hahaha...Mwl hakuwahi hata kuwa naibu waziri alitokea kufundisha tu lakini mpaka leo anapigiwa mfano, Mwigulu ni kiboko, natamani sana amuunge mkono Lowassa apewe uwaziri mkuu.

akimuunga mkono lowasa nitamdharau sana. maana ajenda zake zitayeyuka.
 
Ananifurahisha hapa kusema amejitathmini na kuona anaweza kuongoza na kututoa kwenye umasikini bila kufafanua how this is such a joke, na scarf yake ya kila siku.

Come October 25, vituko vita overflow hahahaaaaa ! Sitaki kucheka.
 
Sijuwi Lowasa atakuwa wapi sasa hivi.mwenye taarifa jamani.mtu anaweza kunywa sumu hivi hivi. Ha ha ha
 
MWIGULU NI JEMBE,tunapenda watu watajirike lakini watajirike kwa njia halali ,HEKO MWIGULU
 
Ila ccm siwapend!
Ila dogo anaongea kwa ushawish! Seriously, kapangilia mahitaji ya watanzania! Issue ni utekelezaji sasa
 
Toka aanze kuongea sijamsikia akisema ccm ooyee. Hii ina tafsiri gani?
 
Hotuba hii ilipaswa kuwa ya kiongozi aliye nje ya mfumo wa kifisadi wa kulindana na kuogopana wa ccm. Ndani ya ccm yote mazuri aliyoyasema mwigulu ni porojo tu! Hayatekelezeki! Ni ndoto ya alinacha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…