Eti mwigulu nae katangaza nia. Huu uchizi sana
Lowasa kama kaangalia hizi hotuba za wenzake kuanzia asubuhi atakuwa kajiona ni mtu mjinga sana.
Teh Teh kama jimbo la Mtwara mjini hadi sasa mnapigana ngumi hivi kwenye Urais ndio mtaweza?
Kabisa,waache kupanda first class,wapande economySio kwamba najipendekeza kwako bibie, ila umesema vema! Matumizi yakipungua tutakuwa na akiba ya issue zingine
Hotuba yake imejaa madhahifu ya ccm
Mwanzo hadi mwisho wa hotuba.
Kumbe azam two wapo hewani.
Hotuba yake imejaa madhahifu ya ccm
Mwanzo hadi mwisho wa hotuba.
Lowasa hamna kitu,pesa tu ndo inayomsaidiaHalafu ni mwoga mno
Dogo yupo njema,ni hazina ya Taifa
Mwambie ni watoto wa Lowassa, period
wamekuja kupeana moyo kwenye safari ya huzuni ya kuimaliza ccm.Asumpta anafanya nini.kwenye mkutano wa mwigulu?mi nadhani mtu ambaye si safi anapokuja kwenye mkutano wako hii inamaanisha na wewe si safi kwa tafsiri ya haraka haraka.Mwigulu tunahitaji maelezo kwanini mtu aliyekuwa anawatetea mafisadi wa escrow ahudhurie mkutano wako?
Lile jukwaa lenu litapwaya sana mpaka November
hata baba rizi naye aliongelea rushwa hivihivi mpaka nikampa kura yangu ,kumbe mbwembwe