Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Asumpta anafanya nini.kwenye mkutano wa mwigulu?mi nadhani mtu ambaye si safi anapokuja kwenye mkutano wako hii inamaanisha na wewe si safi kwa tafsiri ya haraka haraka.Mwigulu tunahitaji maelezo kwanini mtu aliyekuwa anawatetea mafisadi wa escrow ahudhurie mkutano wako?
 
Huyu mwanamke wa Staetv ni mpuuzi haswa, anakomaa kuelezea badala ya tumsikilize mhusika. Sijui kashikishwa kiasi gani. Pumbafu kabisa.
 
Asumpta anafanya nini.kwenye mkutano wa mwigulu?mi nadhani mtu ambaye si safi anapokuja kwenye mkutano wako hii inamaanisha na wewe si safi kwa tafsiri ya haraka haraka.Mwigulu tunahitaji maelezo kwanini mtu aliyekuwa anawatetea mafisadi wa escrow ahudhurie mkutano wako?
wamekuja kupeana moyo kwenye safari ya huzuni ya kuimaliza ccm.
 
Lile jukwaa lenu litapwaya sana mpaka November

Hahahahaa, tukitoka huku ni kwetu kama kawaida.
Usijishaue wewe mwenyewe na wenzako wa huku hua mnakuja kupoza stress kule...
Halafu kule tunapumuaje sasa? Mods wamejaa huku kule ban zimekua nadra sana siku hizi.
 
MASWALI INAONYESHA WAMEYAANDIKA WENYEWE kwani yanasomwa si LIVE
 
Huu mkutano una warembo!
Sijui wametoka wapi.
 
Back
Top Bottom