Kauli yako inasema Lowassa aliomba wimbo wa komba DJ hakupiga hata mmoja. Hiyo kauli ni ya uongo. Sababu wimbo mmoja wa komba ulipigwa ingawa ulikuwa unamnadi Kikwete kama mgombea. Tatizo ni lilelile unakurupuka. Ili uwe mzungumzaji mzuri kuhusu wenzio ni lazima pia uwe msikilizaji wa Yale wanayoyasema wenzio. Vinginevyo utakurupuka tu.Endelea kujitoa ufahamu jana Lowasa alipoomba wimbo wa komba kumekucha ulipigwa?acha upotoshaji.
Kiujumla mkuu ,,waliokaa sana madarakani ni CCM na wamesahau shida za Watanzania/kwa hiyo CCM haifaiMtu aliekaa sana madarakani ni mtu aliesahau shida za watanzania/ kwa hiyo wasira hafai.
Teh teh napenda unavyozicheza karata zako.. Wewe unasubiri mgombea ateuliwe ndio uanze kuunga mkono
anamipasho kama yule wanaye mtuhumu kuwa ni BABA YAKE
kWANI NI MLA RUSHWA?hilo la kufamaniwa ni maneno tu kusema ukweli mgombea aliye safi kwa CCM na UPINZANI ni MWIGULU NCHEMBA PEKE YAKE
Ameboa sana kama wale Madj wa Lowasa janaHuyu mwanamke wa Staetv ni mpuuzi haswa, anakomaa kuelezea badala ya tumsikilize mhusika. Sijui kashikishwa kiasi gani. Pumbafu kabisa.
Wamuulize nani alilipua bomu kwenye mkutano wa chadema soweto tunataka majibu.
hahahaah,,,,,haya bibie, me huku kwa ma ccm sijaona wote walewale.
Wewe unapenda nani apewe nchi?ambae atatuvusha?Mimi kwa hizi idea za Mwigulu tutavukaNani ampe nchi Madelu?
Safi sana Mwigulu,watu wanastaafu mara wanapewa madaraka mapya tena ya kuteuliwa,safi sana hili likikomeshwa,MWIGULU unaongea point hadi unanitoa machozi
Hahahahaa, tukitoka huku ni kwetu kama kawaida.
Usijishaue wewe mwenyewe na wenzako wa huku hua mnakuja kupoza stress kule...
Halafu kule tunapumuaje sasa? Mods wamejaa huku kule ban zimekua nadra sana siku hizi.
Na hapo ndio watamkata jina.
Wewe unapenda nani apewe nchi?ambae atatuvusha?Mimi kwa hizi idea za Mwigulu tutavuka
Kauli yako inasema Lowassa aliomba wimbo wa komba DJ hakupiga hata mmoja. Hiyo kauli ni ya uongo. Sababu wimbo mmoja wa komba ulipigwa ingawa ulikuwa unamnadi Kikwete kama mgombea. Tatizo ni lilelile unakurupuka. Ili uwe mzungumzaji mzuri kuhusu wenzio ni lazima pia uwe msikilizaji wa Yale wanayoyasema wenzio. Vinginevyo utakurupuka tu.