The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,397
- 9,255
Eti amejitoa kututumikia utafikiri kesha pitisha na Lichama lake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeipenda ya Tyson haina Mbwembwe.
Ninaamini Nchemba anajua fika hawezi kuupita msitu wa Lowasa, Membe, Wasira, Mwandosya, Pinda, na wengineo ambao ni wakongwe wa siasa. Ila anafanya investment ya mwaka 2025. Ni kama tu Kikwete alivyojitupa kwenye kuwania nafasi hiyo mwaka 1995.
Huyu mama wa startv anaona sifa pekee ya mwigulu ni kuwa wakwanza darasani..duh😕
Ana mke mzuri sana.
Eti mzalendo mwivi tu kama wevi wengine.
Huyu mchungaji ni wa kanisa gani?
Nimeipenda ya Tyson haina Mbwembwe.
Ingekuwa ni Chadema ungethubutu kuongea maneno haya? Mnavokemea suala la wanafunzi kutumika kisiasa mnabidi mkemee kotekote na siyo kuwa na double standards. Kwingine mnasifia, kwingine mnakemea.Naona hii sasa imekuwa ndio fashion na utamaduni kwa wana-CCM wanaosaka uraisi.
Muda huu ninapoandika kuna magari aina ya coaster yamekodishwa ili kubeba wanafunzi wa chuo kikuu na kuwapeleka Chuo cha Mipango Dodoma kwenye tukio la Mwigulu kutangaza nia.
Nasikitika kuona hata wanafunzi wa vyuo vikuu nao hawajitambua!
Binafsi nimebaki naangali tu tukio hili nikiwa kwenye gate kubwa la kuingilia na kutoka hapa chuoni.
Wewe upo arusha maeneo gani mbona umeme upo au luku imeisha kwako?
Wanaanza na maombi safi sana.Wassira kulikuwa hamna sala
Huku kusali kwenye mikutano ya Kisiasa ni kupotezeana time tu, mbona wenzetu haya huwa hatuyaoni?