Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Elections 2015 Kutoka Chuo cha Mipango, Dodoma: Mwigulu Nchemba atangaza nia kugombea Urais

Mpaka sasa ya Wasira iko juu zaidi. .... kama ingekuwa sinema.

Bl
 
Chadema ukitangaza nia ya kugombea urais ni msaliti,unafukuzwa uanachama
 
anasema historia ya nchema hata yeye haifahamu na anatamani kuifahamu na anataka kutufahamisha ,mmh sijui anamaanisha nini
 
Huyu mchungaji ni wa kanisa gani?

Ni askofu wa kanisa la mito ya baraka pale jangwani, shangaa waumini wanatoa sadaka kwa hela za madafu yeye kutwa anadeposit dola kwenye akaunti yake pale crdb
 
MC kama kalewa pombe vile! Ona wewe wale Mabahai walisali mchana kutwa mungu wao ashushe moto ila ziiii na Gideon alifanya nn unakumbuka? Haturembi sisi
Duh huyu MC sijui kala maharage ya wapi anamsifia sana Mwigulu
 
ni ujinga kuweka vitoto kwenye high table hakuna usirious kabisa
 
Back
Top Bottom