Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenzake wa chama wanaweza kumpiga chini wakiona kama sio mwenzao kwani wamezoea kula na kusaza. Sasa akiingia uraisi wanaamini atawageuka
Mkuu Cargo, hizo si tuhuma bali ndo uhalisia. Situmii ile ya chogo. Nifah anaijua vema coz kuna siku nilimleta home tukaspend one night na ndivyo alivyoenjoy kuiangalia
Mwigulu ana mawazo mazuri lakini hayo mawazo kwa nini hakumshauri Jk ?
Ahsante Nifah! Si unaikumbuka siku ile ulivyonitembelea ukalala na ukaondoka kesho yake mchana?Uko vizuri kwakweli, nimeipenda.
Hapana anasema yeye atakayoyafanya ,siyo kwamba anaiponda serikali iliyopitaMwigulu anaongea kama yuko nje ya system....na indirectly ni kama kuonesha aliyeko ni bogus.
Unajuaje kama hajampa?
Mwigulu anaongea kama yuko nje ya system....na indirectly ni kama kuonesha aliyeko ni bogus.
Na tshirt yake ya Maisha bora kwa kila Mtanzani Ari Mpya Nguvu Mpya na Kasi Mpya
Eti Dr. Mwigulu
Sana tu. kama kipimo cha kuchaguliwa ni kuongea, hakika Lameck anastahili kuwa kiongozi wetu
Tena pigo takatifu kweli.Hakika UKAWA wanaendelea kupata pigo...