Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Atafanya maana yeye ndo atakuwa TOP,Sasa hivi inakuwa ngumu maana yeye siye RAISIbado siamini maana chama chao kina wenye chama. Hapa anatafuta tu huruma ya wananchi. Akiingia sidhani kama atatenda yote hayo.