bwigane anasema okwi ANAFINYA
Kwanini kwa shingo upande?Hahaaaaa. Mwambie emmy kazipokea kwa shingo upande.
Kile alichokifanya kimemkera sana emmy. [emoji85]Kwanini kwa shingo upande?
Najua tu wewe ni timu ya jana iliyoshona SAREwanunuaji wakuu wa mechi: simba, yanga na azam..nyie nunueni tu tuwasifie mkikutana tp mazembe tuone aibu yenu
Kama mechi zinanunuliwa na maneno basi usiache kuongea na wewe utanunua mechi,ila kama zinanunuliwa na pesa basi saka pesawanunuaji wakuu wa mechi: simba, yanga na azam..nyie nunueni tu tuwasifie mkikutana tp mazembe tuone aibu yenu
tufurahie kalamu ya magoli, Al hadouda wanatungoja.Kama mechi zinanunuliwa na maneno basi usiache kuongea na wewe utanunua mechi,ila kama zinanunuliwa na pesa basi saka pesa
Jirani nmehamia mtaa wa nne sasa itabd usogee sogee kidogoHahaa. Au msimu ujao. Ila nitafika tu.
Sister pole Bhana😀😀😀 ndo tushashinda sasa..Kile alichokifanya kimemkera sana emmy. [emoji85]
Pole sana...Kile alichokifanya kimemkera sana emmy. [emoji85]
Hahahaha LOL
Nipo hapa unasemaje mrembo.Asanteeee Okwiiiiiiii
Yani huku Liverpool, Hapa Simba, kule Barcelona...Mkuu furaha aliyonipa Liverpool weekend hii ilikuwa si ya kifani mkuu.
Sasa leo mnyama anaua baada ya jana Yanga kudroo, ni furaha zaidi.
Bebwa na weweMagoli yenyewe yakubebwa kabisaa mpaka aibu
Yani huku Liverpool, Hapa Simba, kule Barcelona...
Mungu kaamua kutupupendelea mwaka huu...
Okwi hizi sasa ni sifa.