Kutoka dimba la Taifa: Simba SC watakata! Wairarua Singida Utd goli 4 kwa nunge, wajikita kileleni kwa alama mbili zaidi

Kutoka dimba la Taifa: Simba SC watakata! Wairarua Singida Utd goli 4 kwa nunge, wajikita kileleni kwa alama mbili zaidi

Simba ni nani hata wasipigwe bao na Singida?

Mtaniambia baada ya dk 90 za mchezo.[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Simba ni nani hata wasipigwe bao na Singida?

Mtaniambia baada ya dk 90 za mchezo.[emoji16][emoji16][emoji16]


Kumbe Unaitwa madabadaba ?? Sikushangai Sana Kudhani Simba itafungwa lakini Nakwambia Haki Ya Nani Singida anararuliwa Kabla ya Jua Kutua.
 
duuuuu yaani nafungulia karedio gooooooooooooooo hahahahahah
 
simba 1 singida 0
kichuyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Hivi AzamTv huwa hawaoni umuhomu wakuwajulisha watazamaji wao kama mechi Ni Live au Recorded?

Wapuuzi kweli.
 
Back
Top Bottom