Kutoka Instagram: Mjue Bilionea wa Arusha anayedaiwa kumtoa mdogo wake kafara ili kupata utajiri

Makubwa haya
 
Hata mwanaume....kuna mmoja tulikuwa tukikutana full bible na kunipiga neno...kumbe ni litapeli la mali za watu ila ilibidi liniingie na gia hizo ili nisishtuke!

Mtu ambae anapenda dini kila kitu mtakatifu huwa namkimbia kama ukoma!
Haha...pole mkuu,swali ni,je alichovyaaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…