Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
NdiwoooDuh duh...humu ndo kuna tamu[emoji519] vs sayari?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdiwoooDuh duh...humu ndo kuna tamu[emoji519] vs sayari?
Hku kuko kimya sana hakuna issue tunaishi kwa ugumuArusha kdg kuna naowajua hebu nipe codes kdg ,mkuu enzi za mahakama ya kimbari nilikua na ndugu na washikaji kule
Eti pumba na ukasoma mpaka mwisho eeeeeeh
Na signature yakudanganyia.. maana hata haunazo...
Kabisa chief...ukiangalia zile sura tu ni full vigaguuNdomo anaonekana ni mtu wa ndumba sana na ile familia yao lazima wameajiri mganga wa familia
Ajitia hajui eti[emoji23]
Hujui??[emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wewe tenaNdo eti kawa zezeta mkuu...ningekuwa arusha ningepitia kijenge nihakikishe sitaki storee za kuambiwa!
Cc mzigua90@shunie@raynavero
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwa fiksi kama hizi utawapata wajinga wajinga tu....
Mweeeh kumbe ni mwanamama ndio nimelijua leoHivi huyo si mwanamama unayemuita mzee baba ?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Siku hizi mwanamke akikwambia ana hofu ya Mungu jiongeze mzee...
Hahaha.. Watu mnapenda ubuyu nitafute nikupeleke kisiri siri kwa ndugu yangu ndiyo mambo yake haya
Ana gorofa la gorofa 3 kwenda juu, gorofa ya 3 juu mwisho lina gate la kuingia juu, humu ndani kuna room kubwa ina mtu yupo huko mbaba mweupe ni bonge la mtu n mnene 24hrs anakula kiyoyozi taa haizimwi, 24hrs amekaa kwenye sofa, hiyo sofa Tanzania nzima huwezi kuipata
Siku moja jamaa akaniachia nyumba yeye na familia yake na watoto wakaenda hollyday, ndani ya nyumba ilipo fika usiku naenda kulala nikajisahau nikazima taa zote za ndani kumbe hairuhusiwi kuzima taa upande wa juu nikaskia sauti za watoto wachanga wakilia, hadi nilimpigia sim kuhusu hiyo ishu ananiambia nisizime taa upande wa juu...
Humu ndani kuingia utadhani upo peponi...
Teh sina hakika lakini aje hapa athibitishe kama ni mwanaume dah anisamehe kwa kweli ,atakuwa mwanaume wa aina yakeMweeeh kumbe ni mwanamama ndio nimelijua leo
Hata mwanaume....kuna mmoja tulikuwa tukikutana full bible na kunipiga neno...kumbe ni litapeli la mali za watu ila ilibidi liniingie na gia hizo ili nisishtuke!Siku hizi mwanamke akikwambia ana hofu ya Mungu jiongeze mzee...
HahahaahahaaMfyuuuuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahahaha! Anauza arage?!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Teh sina hakika lakini aje hapa athibitishe kama ni mwanaume dah anisamehe kwa kweli ,atakuwa mwanaume wa aina yake
Sana na maneno yake yaliyobolidiwa[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]haka kajamaa hua kana fix sanaaa
Haha...pole mkuu,swali ni,je alichovyaaa?Hata mwanaume....kuna mmoja tulikuwa tukikutana full bible na kunipiga neno...kumbe ni litapeli la mali za watu ila ilibidi liniingie na gia hizo ili nisishtuke!
Mtu ambae anapenda dini kila kitu mtakatifu huwa namkimbia kama ukoma!
Hata mwanaume....kuna mmoja tulikuwa tukikutana full bible na kunipiga neno...kumbe ni litapeli la mali za watu ila ilibidi liniingie na gia hizo ili nisishtuke!
Mtu ambae anapenda dini kila kitu mtakatifu huwa namkimbia kama ukoma!
Haaaahaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hofu na mungu kwa muuzaji uliona wapi
Mzee baba hebu nipandishie huo uzi seki ulinipita asee....Mie nilimuaminia kwa kifo cha Seki,maana Seki nilikua namjua ,ila jamaa alimwaga nondo za ukweli zile deep ,salute kwake