nimekuelewa,, ngoja niishie kusoma mnayoandika,, huko kundi lenu la whatsup najua mambo ni kulonga choniiii [emoji23] [emoji23]
Wewe kule jela Askari wameruhusiwa kupiga matekeSio jiwe kweli ?
Mmh. Hapana ntaendeleaa kukataa. Ina maana hakujua ubaya wa waliyokua wanafanya mpaka leo alipowekwa wazi
Ameshasema kuwa alikua anafanya kwasababu alikua anampenda mumewe.Unaambiwa Samiratha ni bingwaa kabisa wa waganga. Hapo kusema mumewe labda walikua wanafanya wote. Halafu yeye sio mtoto kusema alikua anafanya bila ufahamu
Eeeeeh.Ameshasema kuwa alikua anafanya kwasababu alikua anampenda mumewe.
Bila shaka na wewe ni mdau wa ugagula.
jamani dah, ngoja nikae pembeni,,, nijisomeee yajayoKuna aliyembikiri mtoto wake ili nyota yake ing’ae na iling’aa kweli Afrika nzima lakini sasa inaanza kufifia. Ninadhani alikiuka masharti ya mganga amefanya vurugu nyingi mpaka kupora wake za watu.
Inapatikana wapi hii video kk..account name!?Nimeiangalia video zaidi ya mara 20.
-Ukimuangalia Bidada unamuona kabisa hayupo happy kwa kitendo anachofanyiwa na mganga even thou akiaminishwa watapa utajiri kwa kupata jiwe la tanzanite kwenye chimbo la mumewe.
-Mdada inaonekana anamuheshimu sana mumewe mpaka kukubali kwenda kufanyiwa hayo madudu na mganga na ndio maana mganga alivyopeleka mikono kwenye "Maziwa" akamtazama mmewe kama kumuona alivyoshikwa na mganga hii inaonyesha anamuheshimu sana mmewe.
-Ila Matajiri wengi sana wana michezo hiyo sana,kwenye kila maghorofa tunayoyaona wanaoishi hao matajiri ukisearch ndani 6 kati ya 10 unaweza ukakuta "Mazezeta" ndani.
mkuu rudi ktk uzi huu kwa pale chini utakaona ka download uone mtoto mzuri anapakwa sijui kitu gani,,, yaaan waganga kwa kufaidi mweeeeInapatikana wapi hii video kk..account name!?
[emoji23] [emoji23] TCRASasa polisi wanasubili nini kuchukua hatua?
Ameifuta..maana last post ni 3 days ago..!!Ingia insta kwa nakaaya sumari kuna hiyo video
Ameifuta..maana last post ni 3 days ago..!!
mkuu rudi ktk uzi huu kwa pale chini utakaona ka download uone mtoto mzuri anapakwa sijui kitu gani,,, yaaan waganga kwa kufaidi mweeee
Kazi IPO apo yajayo yanafurahisha