Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,512
- 23,925
Ila Witty[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Karibu gire
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila Witty[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Karibu gire
Yaaan anakuona kama SUGU moto chini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] We kaka nitake radhi shunie mm kweli nimekuwa msela
Tehteh tehh...kuna kitu umenikumbusha
Kuna siku nasuka sangita kwa mmasai hapo TRA mwenge...basi kamaliza kusokota za mbele, akaniambia " rafwikii geuza singo yako kwa mapaja yangu" duuh nikageuza shingo kumuinamia huko chini uvundo c uvundo chupi hajavaa ( ndo nikajuaga kumbe masai wana dyudyu mbili[emoji23] )
Ila ile harufu toka nizaliwe sijawahi isikia popote dunia hii
Nakuja na post yakeHebu tumtafute Mshana Jr atueleze vizuri kama pale kuna ulozi au maigizo. Ukiangalia vizuri utajua hakuna lolote kwenye hiyo klip. Kwanza Mganga aliyeko kilingeni hana swaga wala mzuka wa kiganga. Pili, mafukizo, mafusho na vibuyu haviendani na kile kinachofanyika. Kama ni kuaguliwa basi mteja alikuwa anaibiwa, nampa pooooole sana
[emoji23] [emoji3] Mimi wa Kusini hukooo!!!Ziwani!!Mhhhh ya kweli haya unaweza ukawa wa ziwani ila na wasiwasi una vinasaba vya Tanga na hivi wazee wa zamani hawajui kupima DNA kwanini nasisimuka nikisoma comments zako ? Si ndio ulikuwa unatumia ID Genverous sijui kama nimeiandika vizuri ?
Hii Simara ukiigeuza inakuwa Samira duuNilivyoiona tu hii story ya Ibrah sijui kwanini nikakufikiria wewe, nikasema ikiletwa tu humu lazima utatuletea ukweli mzima.
Kwa story za Arusha sina shaka na wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] HuyohuyoMhhhh ya kweli haya unaweza ukawa wa ziwani ila na wasiwasi una vinasaba vya Tanga na hivi wazee wa zamani hawajui kupima DNA kwanini nasisimuka nikisoma comments zako ? Si ndio ulikuwa unatumia ID Genverous sijui kama nimeiandika vizuri ?
Wana mbilii....?!![emoji23] [emoji23] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23]Tehteh tehh...kuna kitu umenikumbusha
Kuna siku nasuka sangita kwa mmasai hapo TRA mwenge...basi kamaliza kusokota za mbele, akaniambia " rafwikii geuza singo yako kwa mapaja yangu" duuh nikageuza shingo kumuinamia huko chini uvundo c uvundo chupi hajavaa ( ndo nikajuaga kumbe masai wana dyudyu mbili[emoji23] )
Ila ile harufu toka nizaliwe sijawahi isikia popote dunia hii
Asante...miss u more yaan toka asubuhi nasema nitausoma huu uzi baadae...nikiingia nakuta umesogea....imebidi niusome vipande vipandeKaribu shost...mic u
Haaaahaaa...kumbe we kaka una mineno hivyo?!
Yaaan anakuona kama SUGU moto chini
Haki tena!![emoji3] [emoji3] [emoji3] mlichomfanya baba angu Mungu anawaonaaaa...!!!!Khaaaaaa makubwa haya
Mwee jamani[emoji3][emoji3]Hii Simara ukiigeuza inakuwa Samira duu
Hata wadada nao si dondosha wembe?Mjini kwenye utoto tu ,baada ya hapo tulirudi Arusha ndio tukaenda porini ,unakatwa bila ganzi wanawake wamekaa kwa mbali ukitingisha upaja tu ni disqualified ,ukifanikiwa kukaza mpaka mwisho wakina mama wanapiga vigelegele ,uanaume wangu nimeugharamia ndio maana nimesikitika kufananishwa na mwanamke .
Msela midevu shuniiiiHaaaahaaa...kumbe we kaka una mineno hivyo?!
HaaahaaaTeh teh nisamehe bure Msela wangu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] we msela midevu!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huyohuyo
Teh teh mama acha kabisa ,wewe pia wa Tanga eeh ? Sema tu nimalize kabisa kukuweka kwenye List yangu ya masela ,maana hii chemistry yenu wewe ,Mzigua ,Shunie,Raynavero kama triplets vile .Haaaahaaa...kumbe we kaka una mineno hivyo?!
Mkuu Ms.Lincoln hili soma la pesa ni mali ya nani, ni refu sana mkuu, nikianza kukuhubiria hapa nitaharibu huu uzi. Lakini kwa kifupi tu ni kwamba dunia na vyote viijazavyo ni mali ya MUNGU ndiyo, lakini Ibilisi Shetani "alishajimilikisha" kila kitu.Mhu
Mimi nilifikiri 'Mbingu na nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana!'.
Kumbe shetani keshapewa urithi wa kudumu?kwa hiyo mzee baba wewe hutafuti pesa kabisa kwa vile ni ya shetani?Au unaishije hapa duniani?