Kutoka Kenya: Mchakato wa wenzetu kumng'oa Naibu Rais unaumbua ubovu wa katiba yetu

Ukiongelea ustahimilivu basi kwetu hapa ndio zero kabisa maana ndugai kusema tu nchi itapigwa mnada aling'olewa Asadi kusema tu huu ni udhaifu wa bunge aling'olewa na watu wakiongea maneno kwa ukali kidogo tu utamsikia kiongozi analalamika wananitukana
Kule kuna uvumilivu mkubwa sana wa kisiasa
 
... katiba nzuri kisiasa lakini iko sambamba na sera mbovu zinazomilikisha raslimali, kama ardhi, kwa wakubwa wachache ni KIINIMACHO TU!
... DON'T COMPARE OUR BONGO WITH SHITHOLE COUNTRIES!
So far hoja yangu kubwa ilikuwa namna wenzetu zile check and balance zimekaa vizuri yaani dp anaenda mahakamani akiamini kabisa kuwa hakuna maelekezo kutoka juu.
 
Hahahaha 😂 😂 😂 nmecheka kinoma
 
Mkuu 'Mufupi', nimekusoma na nimekuelewa vizuri.

Hakika, kama usemavyo, Tanzania yetu hii sasa mtu kuonekana kuwa "mzalendo" ni kuwa chawa wa kiongozi. Hata kama huyo kiongozi akiwa mbovu kiasi gani, lakini chawa wanao ishi kwa kutumia uchafu wake, hao ndio wanaojipambanua kuwa wazalendo wa taifa hili.
 
Huku hatuendeshwi na katiba tunaendeshwa na maono ya Rais
 
Lazima katiba itengeneze mazingira rahisi ya kumwajibisha kiongozi wao lakini pia lazima mihimuli ya mahakama ifanye kazi yake bila kuegemea upande wowote
Katiba inayotengeneza mazingira marahisi na kuacha vacuum ya uwajibikaji na kuodoa haki ya kusikilizwa na security ya viongozi hiyo ni katiba ya kijinga.

What is the security of Deputy President? Kama anaweza kuondolewa kihuni kihuni tu hivyo? Yaani President akichoka tu anakuondoa wakati wewe ni sehemu ya kuchaguliwa kwake? Deputy President siyo waziri.
 
Mzee unaazisha uzi kisha unachanganaya madesa. Ndugai alichaguliwa na wananchi? 🤣 🤣 🤣 🤣 Ndugai alichaguliwa na wabunge tu? Ndugai alikuwa anawajibika kwa Wabunge. Mzee unasafari ndefu sana ya kujifunza issue za Katiba na Republic.

Also Asadi huyo ni mteuliwa yeye siyo mwanasiasa 🤣🤣🤣🤣 Mzee mahaba yako na kenya yanakufanya uwe kichaa. Hapa tunaongelea Deputy President mtu ambaye alikuwa kwenye ballot paper moja na President. Huyo amechaguliwa na wananchi wote wa kenya. Kuwezi kumuondoa kihuni huni tu.
 
Hapa tunaongea facts mzee hatuongelei mihemko. Tunajadiliana kisomi. Leta facts acha kuongea misemo miiiiiiiiiiiiiiiiiiiiigi

Kwanini Deputy President aliyechaguliwa pamoja na Rais kwa kupigiwa kura na wananchi wote wa Kenya anaondolewa kihuni na watu wachahce?
 
Acha kushabulia watu na kujifanya mjuaji wa kijinga. Kenya ni pale tu watu wanaenda kwa miguu. Tuongelee hoja iliyo po mezani. Kujivibisha kama chura ni ujinga wa hali ya juu. Hapa JF tunaongea kisomi na tunalazimika kutoa facts na sio kuoleta kiburi cha kijinga.

Tueleze kwanini Deputy president anawekwa kwenye ballot paper moja na President?
 
Mzee tupo kwenye serious topic halafu wewe unaleta michambo. 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Kwani kuwekwa kwenye ballot paper Moja na rais ni immune ya kukosea!? Na ukifanya mambo usiwajibishwe!?
So far ninachosifia mimi ni kwamba pamoja na yoote hayo dp anaweza kwenda mahakamani
 
Mi nilikuwa najibu hoja yako kwamba eti Tanzania kuna uvumilivu wa kisiasa kuliko Kenya hilo jambo sii kweli.
Katiba yetu inatoa mianya ya viongozi wa chini kutojiamini sana kwani milango ya kufukuzwa kimagumashi ni mikubwa mno
 
Kwani kuwekwa kwenye ballot paper Moja na rais ni immune ya kukosea!? Na ukifanya mambo usiwajibishwe!?
So far ninachosifia mimi ni kwamba pamoja na yoote hayo dp anaweza kwenda mahakamani
Nimekuuliza swali, Please naomba unijibu. Kwanini Deputy president anawekwa kwenye ballot paper moja na President? Please answer the question
 
Nimekuuliza swali, Please naomba unijibu. Kwanini Deputy president anawekwa kwenye ballot paper moja na President? Please answer the question
Anawekwa kama mgombea mwenza ili afanye kazi kumsaidia rais pindi wakichaguliwa
 
Mi nilikuwa najibu hoja yako kwamba eti Tanzania kuna uvumilivu wa kisiasa kuliko Kenya hilo jambo sii kweli.
Katiba yetu inatoa mianya ya viongozi wa chini kutojiamini sana kwani milango ya kufukuzwa kimagumashi ni mikubwa mno
Mzee jikite kwenye mada. Maana mfano wako huo ulioutoa hauendani na mantik hii iliyopo. Context niliyoiongelea ni tofauti kabisa.

Ruto waliingia makubaliano Gachagua ili Gachagua kuwa Mgombea mwenza ili waweze kuvuna kura nyingi na waweze kumwangusha Raila which walifanikiwa.

Kwanini Ruto anakosa ustahimilivu wa kumvumilia mwenzake na anajua kabisa wametoka vyama tofauti na wanasera tofauti?
 
Anawekwa kama mgombea mwenza ili afanye kazi kumsaidia rais pindi wakichaguliwa
Je, unajua kuwa mgombea mwenza ni part of General Election of the president? Kwanini aondolewe kihuni kihuni tu wakati ni part of president?

Yaani unamtuhumu mtu kisiasa tu, na unataka aondolewe kisheria 🤣 🤣 🤣 🤣 Ruto anatakiwa asubiri 2027.
 
The Phylosopher Ngoja nikupatie somo dogo tu kwa ufupi.

Katiba bora ni ile inayo Protect na Kuwajibisha kwa misingi ya source ya yule kiongozi.

Huwezi kumwajibisha Kiongozi aliyechaguliwa na wananchi wote eti tu kwasababu mmetofautiana kisiasa. Kwa maana hiyo Rais atakuwa Mungu mtu. Ukitofautinana naye kauli tu anakuondoa wakati hajakuweka yeye hapo madarakani.
 
Hivi kwa mfano nilikuteua unisaidie kufanikisha jambo fulani, kweli tukafanikiwa lakini nikagundua humo njiani kwamba kuna namna hauniungi mkono unatakanikuchukulie hatua gani!?
 
Ile pale sii kutofautiana kisiasa ila ni kuenda kinyume na maadili ya uongozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…