KERO Kutoka Kibada mpaka Mwasonga ni kilometer 18 tu, nauli inakuaje 1200? Latra mko wapi?

KERO Kutoka Kibada mpaka Mwasonga ni kilometer 18 tu, nauli inakuaje 1200? Latra mko wapi?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Kalaga Baho Nongwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2020
Posts
9,953
Reaction score
23,150
Kwema wakuu?

Asee Latra mtuhurumie watanzania wenzenu, toka mwaka huu uingie nimeona wananchi wa Mwasonga wanateseka sana nauli inapanda bila sababu za msingi. Zamani nauli ilikuwa 500 tu hadi feli.

Toka nauli ipande ikasogea mpaka 1000 na muda huu naandika hapa nauli kule ni 1200

Kwa mujibu wa tovuti yenu, na mpango wa nauli kulingana na kilometer ile sehemu ingekuwa nauli ni 750 tu.

Naomba wahusika mlifanyie kazi wananchi wanateseka kule. Sawa hakuna lami lakini hii nauli bado kubwa sana na ikiwezekana mtusaidie ruti ya kariakoo ili wengine tuhamie kwemye vibanda vyetu

Wasalaam,
Nongwa
 
Hayo ndio maajabu ya kigamboni, pengine kwa sababu hakuna panda shuka nyingi, mzunguko unakuwa mdogo
Mendeleo kule yanadorora sawa. Watumie barabara ya lami kama variable lakini pia nauli ikishuka kuna namna itatusaidia hata kufikiria kuhamia au kujenga hivyohivyo. Mwasonga sio mbali kama bunju kutokea city center, wonder ful kwemda kariakoo hakuna gari na kuja kibada nauli mlima
 
Mendeleo kule yanadorora sawa. Watumie barabara ya lami kama variable lakini pia nauli ikishuka kuna namna itatusaidia hata kufikiria kuhamia au kujenga hivyohivyo. Mwasonga sio mbali kama bunju kutokea city center, wonder ful kwemda kariakoo hakuna gari na kuja kibada nauli mlima
Mwarobaini wa hayo yote ni kuwekwa Barabara ya lami tu
 
Back
Top Bottom