Duuuu, Aiseee😳😳😳😳Mgogoro ulikuwa ni wa kikodi, baada ya kuchallenge Jiwe akamdaka na kushinikiza ile pesa ilipwe, ikalipwa cash akachukua Jiwe cash na haikuingia serikalini, wafanyabiashara wengi wamefanyiwa huu mchezo na ndio fedha baadhi alitumia kwenye uchaguzi huu
Kieleweke Haraka HarakaAlafu tunaweka Kwa Kiswahili
Kitabu kiingizwe kwenye mitaala
Hili ni tatizo kubwa ndani ya nchi yetu...Nakubaliana na wewe mkuu, watanzania wengi iq ni ndogo sana, ni chini ya 40 na hata walioenda shule wengi wameenda kukariri, hakuna ufahamu kabisa.
Kama alikuwa na uwezo wa kugharamia matibabu binafsi kibali cha kutoka nje ya nchi kilihitajika kwa minajili gani?Dah kusoma na kuelewa huwa ni vitu viwili tofauti, ni wapi ameongelea habari ya Mkapa kukosa hela ya kujitibu?
Umeambiwa alinyimwa kibali sio pesa,
Kipindi cha Magufuli kutoka nje ya nchi hii ni lazima upate kibali chake.
Na alifanya hivyo makusudi baada ya Mkapa kusema kwenye nchi hii hamna mtu ataongeza muhula mwingine zaidi ya miaka 10 akiwa hai
Aliyasema haya siku anazindua kitabu chake
Kwa roho ya korosho ya jiwe naamini kabisa alimnyima kibali
Inasikitisha sanaWatanzania bwana, unakuta mtu mzima kabisa na bahati nzuri ameenda shule ajabu utakuta anapoteza muda wake eti ananunua kitabu cha Yerico Nyerere ama Kabendera na anasoma kabisa na mbaya zaidi anaamini ule ujinga ulioandikwa mule😂.
Ndio maana ccm inaendelea kua madarakani miaka na miaka na hakuna wanachokifanya cha kimaendeleo lakini wanaendelea tu kwa sababu watu wa kuwatoa hawapo maana ccm imekua ikiwadanganya na kuwafukarisha kwa miaka zaidi ya 60 na bado wanaichagua.
Nadhani Tanzania ni nchi yenye binadamu wa aina yake Duniani, special human species.
Kamuulize Magufuli pale kaburini Chato alikuwa anataka vibali vya nini na hela hatoi yeyeKama alikuwa na uwezo wa kugharamia matibabu binafsi kibali cha kutoka nje ya nchi kilihitajika kwa minajili gani?
Mbona mimi nilikuwa nasafiri nje ya nchi bila kuomba kibali toka kwa yeyote yule. Sembuse Rais Mkapa na connections zote alizonazo?
Make it make sense.
NyamulengeMzilankende
Unajiona smaart kumbe...Watanzania bwana, unakuta mtu mzima kabisa na bahati nzuri ameenda shule ajabu utakuta anapoteza muda wake eti ananunua kitabu cha Yerico Nyerere ama Kabendera na anasoma kabisa na mbaya zaidi anaamini ule ujinga ulioandikwa mule😂.
Ndio maana ccm inaendelea kua madarakani miaka na miaka na hakuna wanachokifanya cha kimaendeleo lakini wanaendelea tu kwa sababu watu wa kuwatoa hawapo maana ccm imekua ikiwadanganya na kuwafukarisha kwa miaka zaidi ya 60 na bado wanaichagua.
Nadhani Tanzania ni nchi yenye binadamu wa aina yake Duniani, special human species.
hakina sifa ya kuingizwa kwenye mtaalaKitabu kiingizwe kwenye mitaala
Sem naamini aliyevujisha hii siri hatuko naye, walishamalizana naye.Niko kijijini huku bado nakula raha, vipi Kabendera hajamtaja Ridhiwani na lile sakata la makontena ya madawa ya kulevya China na jinsi baba yake alivyokwenda kumuokoa kwenye kitanzi asinyongwe usiku usiku. Dogo kalitia taifa hasara kubwa sana wakati hana faida yoyote ndani ya hii nchi!
UBUNGE ASHAPIGWA MARA MBILI
Mnamo mwaka 1985,Mwalimu wa kemia wa shule ya sekondari Sengerema JOHN POMBE MAGUFULI aligombea ubunge wa Jimbo la biharamulo akichuana na mkulima PHARES KABUYE (wote CCM). PHARES KABUYE alishinda na kutangazwa kuwa mbunge JOHN POMBE MAGUFULI akarudi Sengerema kuendelea na majukumu yake ya kila siku ya ualimu (alirudi kufundisha
Mnamo mwaka 1990 Mwalimu JOHN POMBE MAGUFULI alichuana Tena na mkulima PHARES KABUYE kwa mara ya pili. PHARES KABUYE alimshinda tena JOHN POMBE MAGUFULI akafanikiwa kukitetea kiti chake