Mbona hata Historia ya ZANZIBAR imepotoshwa tena kwa kiwango kikubwa lakini hili hulisemi. Dunia inafahamu kwamba kiongozi wa mapinduzi "MATUKUFU" ya ZNZ alikuwa Fidel Marsha John Okello. Lakini historia ya ZNZ imepindishwa na kiongozi wa mapinduzi kupewa mtu mwingine kabisa ambaye hakushika hata fimbo, achilia mbali kuwepo siku ya mapinduzi hayo yanafanyika. Au kwa kuwa kiongozi wa mapinduzi hayo alikuwa Kafir ndiyo maana ni sahihi kabisa kupindisha huo ukweli. Kama serikali iliwaundia BAKWATA waislamu, mbona leo tena baada ya miaka 50, bado waislamu wa Tanganyika mnalilia kuundiwa tena chombo kingine na serikali aka MAHAKAMA YA KADHI?! Hivi nyinyi waislamu mnataka nini hasa? BTW, hivi hiyo dini ya "Mwenyezi Mungu" huwa haiwezi to co-exist with other religion/believes? Hata kama ZNZ ina waislamu 99% what is wrong with Watanganyika Wakiristu kwenda Zanzibar wamevaa misalaba, according to imani yao?. Kama mind set za waumini wa dini hii ya "Mwenyezi Mungu" ndiyo hizo no wonder hii dini iko in conflicts with all religion/believes of this world. Islam v. Christian (Nigeria) Islam v Jews (Israel/Palestine), Islam v Hindu (India) Islam v. Budha (Thailand), Islam v Animist (Sudan) you mention them. Lakini uki substitute Islam with other religion you will never get that scenario.