Bulelaa
JF-Expert Member
- Jun 28, 2024
- 1,342
- 3,247
Nchi dhaifu kabisa na nchi ndogo kama Ukraine leo hii ndo ya kuivamia Russia?
Nani alitegemea haya kutokea?
Kwa hali hii, Irani na nchi zingine zinazoiamini Russia na kuweka matumaini kwake kwamba ataweza kuwalinda, waendelee kuamini hivyo?
Kwa namna hii, Bado USA ndiye kiranja wa mataifa yote kwa miaka mingi tu ijayo!
Pia soma:
www.jamiiforums.com
Waarabu endeleen kuweka tumaini la kiulinzi la nchi zenu kwa Russia
Na ndiyo maana, Ukraine, licha ya kipigo kutoka kwa Russia, bado msimamo wake ni uleule, wa kuendelea kuamini NATO inaweza kumlinda na siyo huyo Putin!
Nani alitegemea haya kutokea?
Kwa hali hii, Irani na nchi zingine zinazoiamini Russia na kuweka matumaini kwake kwamba ataweza kuwalinda, waendelee kuamini hivyo?
Kwa namna hii, Bado USA ndiye kiranja wa mataifa yote kwa miaka mingi tu ijayo!
Pia soma:
LIVE - Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?
Salaam Wakuu, Thread hii ya Mwendelezo, itatumika kuangazia hali ya Usalama na matokeo yake katika Mzozo wa Ukraine na Urusi. Tuzujane hapa kianachojiri.. Mvutano kati ya Ukraine na Urusi umefika kiwango cha zaidi kwa miaka mingi, lakini juhudi za kidiplomasia pia zinafanya kazi kwa bidii...
Waarabu endeleen kuweka tumaini la kiulinzi la nchi zenu kwa Russia
Na ndiyo maana, Ukraine, licha ya kipigo kutoka kwa Russia, bado msimamo wake ni uleule, wa kuendelea kuamini NATO inaweza kumlinda na siyo huyo Putin!