Yaani wewe hapa sasa umenikatisha tamaa kabisa. Maana nilikuwa na mpango wa kuchukua fomu ya kugombea mwaka huu, lakini kwa namna ulivyoandika hapa, umenipa uhakika kabisa kuwa siwezi kuwa mimi. Nimeahirisha kuchukua fomu, lakini pia nashukuru kwamba umenisaidia ku-save hiyo Shillingi million moja ya kuchukulia fomu!.. Wengi hatumjui rais ajaye Ila miongoni mwao wanajua mda mrefu. Pia depo yao ile ya Siri pale ba... Sio mchezo! Pale ndo wanatoka PSU kwa ajili ya ulinzi wa viongozi, snipers wa kazi maalumu na wale wasiojul.
Vyeo vyote ni Dhamana tu.Chini ya CCM vyeo vyote ni UCHWARA
Wana TISS wa kuajiriwa ni wajeshi, wanapitia mafunzo ya kijeshi, wanapiga deppo kama jeshi na wana vyeo vya kijeshi na sio vya kipolisi!.
Ndio maana alipomteua polisi kuwa DGIS watu tumeshangaa, kama tulivyoshangaa kumteua mwanasheria kuwa gavana badala ya mchumi!.
P
Pasco ametoa mfano mdogo, magufuli akienda Zanzibar kwenye sherehe itifaki inakuaje? Shein huwa wa kwanza kuingia uwanjani then magufuli ina maana Shein ni mkubwa kicheo kuliko magufuli? Majukumu ya Tiss ni Siri hata rais anafanyiwa vetting na wao ndio maan inaitwa taasisi nyeti, bajeti yake haijadiliki, watu wake hawajulikani na usishangae IGP na CDF kua ni wana TISSUmeeleza kwa uzuri sana,haya ni majukumu yao tu uliyoyasema lakini hayawapi ukubwa huo aliouuliza mleta uzi,swali ni nani mkubwa kati ya IGP na Mkurugenzi wa TISS?
Jibu ni IGP ndiyo mkubwa maana tunayasema haya kwa mujibu wa itifaki na itifaki ipo dunia nzima kwaajili ya kuweka usawa baina ya watu wakutanapo ili kutomfanya mtu kujiona kashushiwa heshima yake.
Ndiyo maana hata mpangilio wao popote pale wakutanapo hawa viongozi wa vyombo hivi huzingatia muundo wa kiitifaki (order of seniority).
Sasa Jeshi senior ni JWTZ likifuatiwa na PT na wengine ndiyo hufuata hivyo kung'ang'ana kusema TISS mkurugenzi ni mkubwa kwa IGP ni kumvunjia heshima yake IGP.(tena mtu unasema ni mkubwa kwa kuangalia majukumu anayoyafanya hii si sawa).
Hata hawa Marais wa nchi za Afrika Mashariki wakikutana tutawapanga kwa u-senior wao hata kama wote ni marais na lazima yupo anaweza kuwa hata ni wa Burundi pamoja na kuonekana anatokea ka nchi kadogo na maskini kuliko zote.(kwasasa Mseveni ni senior wa Marais wote wa Afrika Mashariki na ni kwa kuwa amehudumu kwenye kiti kwa muda mrefu sana).
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana akina kangi lugola na makonda wanampelekesha siro, Hana uzito huo... Mamlaka yake inaishia mambo ya ndani tu tena kwenye ulinzi wa jamii na mali zake..
Hahaha bro ni ukweli mchungu... Pasco aliwahi kuandika hapa mwaka 2014 kuhusu rais ajaye 2015... Muulize alitoa wapi source?? From no where huwez kupewa nchi... Wapo wanaotoa...Yaani wewe hapa sasa umenikatisha tamaa kabisa. Maana nilikuwa na mpango wa kuchukua fomu ya kugombea mwaka huu, lakini kwa namna ulivyoandika hapa, umenipa uhakika kabisa kuwa siwezi kuwa mimi. Nimeahirisha kuchukua fomu, lakini pia nashukuru kwamba umenisaidia ku-save hiyo Shillingi million moja ya kuchukulia fomu!
Sema Kt jamaa anguKitu kizuri humu ndani kila mtu mjuaji, kuna wanaojua wamekaa kimya na kuna wasiojua wanaonesha kujua. Sitaki kubishana ila nataka kuwasaidia kidogo. TISS ndicho chombo kikuu cha kukusanya taarifa,kuzichambua na kushauri. Taarifa zote kutoka kila sehemu iwe ni jeshini, bungeni, nje ya nchi, sokoni nk. Narudia tena taarifa zote wanatakiwa kuwa aware nazo baadaye wanazifanyia screening na kuchukua za maana tu.
Kwa mantiki hiyo TISS wanashauri uteuzi wa nafasi nyeti ndani ya serikali, from no where mtu hawezi kupewa cheo cha CDF aongoze jeshi bila kufanyiwa vetting. No lazima wajiridhishe then wampitishe. Vivyo hivyo kwa IGP nk
TISS wapo kila mahali, iwe kanisani (kapilimba alikua mchungaji) msikitini, ikulu, shuleni nk. Kila penye watu wapo!
TISS imegawanyika sehemu kuu mbili. Kurugenzi ya mambo ya nje na ndani. Huko nje tuna mawakala kibao kamwe hatutowajua kwa macho!
TISS members wanapatikana kwa ujuzi wa hali ya juu sana, vetting huchukua hadi mwaka mzima. Nilipokua chuo yalinikuta haya... Kama isingekua.... Leo hii ningekua huko.
TISS ndo wanaratibu hata aina ya siasa na uongozi wa nchi, ndio wanaochezesha hata michezo michafu kama ile ya kina Zit...
TISS wanacheza sana na saikolojia za watu, propaganda kwao ni somo kule chuoni, kuna watu maalumu wapo kwenye vyombo vya habari, mitandaoni nk wakileta habari wanazotaka tusikie kwa malengo yao... Amini nakuambia!
TISS ni dubwana kubwa! Usidanganywe na neno 'idara' kisheria hawaruhusiwi kuendesha any operation lakini.... Pia wao kwa wao hawajuani maana kule unafanya kazi kwa amri na maelekezo kama utapewa kazi ya udukuzi utaifanya tu hata kama kwa mke wa rais
Sitaki nilinganishe vyeo vyao... Nataka ujue majukumu ya kazi zao.. Wengi hatumjui rais ajaye Ila miongoni mwao wanajua mda mrefu. Pia depo yao ile ya Siri pale ba... Sio mchezo! Pale ndo wanatoka PSU kwa ajili ya ulinzi wa viongozi, snipers wa kazi maalumu na wale wasiojul...
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupe mfano wa izo nchi nyingine ambayo kazi za Idara za kijasusi ziko chini ya jeshi?JWTZ wana idara yao ya usalama ikiitwa Military Intelligence nao wanafanya kazi kama wafanyayo TISS na kabla CDF wa sasa hajawa CDF amewahi kuiongoza MI,lakini pia PT wana idara yao ya usalama wakifanya kazi kama TISS na wote wakiripoti kwa mtu mmoja sasa kuipaisha juu TISS sana ni kupotosha tu mambo.
Hata vikao vya ulinzi na usalama vya taifa muundo wa ukaaji ni ule ule TPDF ni top,akifuatiwa na IGP.
Na ndiyo maana kwa nchi nyingine nyingi Idara ya Usalama kama TISS yetu unakuta iko ndani ya Jeshi kama la JWTZ.
Sent using Jamii Forums mobile app
Itifaki ina mambo lukuki sana,kwanini Rais wa JMT akienda kwenye sherehe za mapinduzi Zanzibar huingia uwanjani mapema kabla ya Shein ni kwamba kiitifaki Rais wa Znz ni mdogo kwa wa JMT ila linapokuja suala la maadhimisho kama haya yanayohusu kwa mfano sherehe za mapinduzi ya Znz basi hii shughuli mgeni rasmi atakuwa Rais wa Znz kwa kuwa yeye ndiyo kiongozi wa Znz na shughuli nzima ni ya Wazanzibar na ndiyo maana hata kwenye lile gari la wazi analopanda Rais kuwasalimia wananchi waliojitokeza uwanjani huwa Rais wa Znz anapanda na Mkuu wa Jwtz kwa upande wa Znz na siyo CDF wa JMT hiyo ni kuuonesha umma kuwa shughuli husika inamhusu Mzanzibar na kwa kuwa wana Rais wao basi ni Rais wao ndiyo atakuwa mgeni rasmi ktk sherehe zile ila linapokuja suala la JMT basi senior ni Rais wa JMT.
Unyeti wa majukumu ya TISS unatokana na dhima nzima ya kuianzisha idara ile lakini hauipi uhalali wa idara kuwa kubwa kimamlaka kuizidi JWTZ au Polisi Tanzania,hata sheria haiko hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hili la Rais nakataa Pascal Mayalla hakupatia km upo uzi weka au aweke hapaHahaha bro ni ukweli mchungu... Pasco aliwahi kuandika hapa mwaka 2014 kuhusu rais ajaye 2015... Muulize alitoa wapi source?? From no where huwez kupewa nchi... Wapo wanaotoa...
HUko TISS Wamejaa UVCCMEti unaandika huko nje tuna mawakala wakubwa hafu ghafla
Mimi sipo TISS [emoji23][emoji23][emoji28]
YAANI viwatu vya TISS bhana [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mbna mna recruit ugoro sana siku hizi nyie jamaa [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ili mradi tu ubishe,ushawahi kushiriki au kushuhudia au hata kusikia kitu kinaitwa mazoezi ya kivita?Au unaposikia wanamgambo katika nchi jirani kama Congo DR?
Rwanda, Uganda na KenyaTupe mfano wa izo nchi nyingine ambayo kazi za Idara za kijasusi ziko chini ya jeshi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli na post za ajira tangu miaka ya 2002, kila wilaya wanatoa MTU mmoja kupitia UvccmHUko TISS Wamejaa UVCCM
Umeeleza vizuri kabisa, ila wilayani Ocd sio katibu ni DasMayalla unatoa wapi MAMLAKA ya kudanganya umma namna hii? KWANZA unasema TISS NI jeshi huo ni uongo mkuu Soma kifungu cha 4 Cha TISS ACT YA MWAKA 1996
NA MAJUKUMU YA TISS YAPO KISHERIA SOMA SECT 5 OF TISS ACT 1996
TISS NI KITENGO AMBACHO KIPO CHINI YA OFISI YA RAIS NA DG WA TISS HUTEULIWA NA RAIS
NA IGP VILE VILE HUTEULIWA
BUT DG WA TISS KUTEULIWA NA RAIS HAIMAANISHI NI MKUBWA KWA IGP KWANI RAIS HUTEUA VIONGOZI WENGI SANA WENGINE WANAVYEO VYA CHINI KM MA DED MA DC WENYEVITI WA BODI MBALIMBALI NA KIRANK DG NI KAMISHNA BUT IGP LAZIMA UWE NA CHEO CHA ZAIDI YA KAMISHNA
MFANO HATA KWENYE WILAYA ZETU KUU ZA WILAYA MKITI NI MKUU WA WILAYA KATIBU NI OCD WASHAURI NA DSO NI WAJUMBE TU WAKAWAIDA NA WENGINE KAMA HAOView attachment 1372605
Sent using Jamii Forums mobile app
Na aliyemsema kipindi hicho ndiyo Rais kwa sasa? Kama ndiye basi nitatafuta namna ya kuhakikisha kuwa Pasco ananitaja, halafu akishanitaja ndiyo naenda kuchukua fomu. Kwa hili hata kama atahitaji rushwa, nitampa kama huwa anapokea. I'm dying for a presidential run!Hahaha bro ni ukweli mchungu... Pasco aliwahi kuandika hapa mwaka 2014 kuhusu rais ajaye 2015... Muulize alitoa wapi source?? From no where huwez kupewa nchi... Wapo wanaotoa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda anavyoona mgambo wakimwaga masufuria ya mama ntilie ndio anajua mafunzo yao.Mkuu asiyetaka kueleweshwa muache abaki na ujinga wake.
MG ni Jeshi la Akiba pamoja waliopitia JKT na kimsingi mafunzo yao wanafundishwa mafunzo ya msingi ya kijeshi kama ulengaji shabaha nk sasa yeye kubisha kuwa hawafundishwi mafunzo ya kivita sijui labda atuambie wanafundishwa nini?
Sent using Jamii Forums mobile app