Kitu kizuri humu ndani kila mtu mjuaji, kuna wanaojua wamekaa kimya na kuna wasiojua wanaonesha kujua. Sitaki kubishana ila nataka kuwasaidia kidogo. TISS ndicho chombo kikuu cha kukusanya taarifa,kuzichambua na kushauri. Taarifa zote kutoka kila sehemu iwe ni jeshini, bungeni, nje ya nchi, sokoni nk. Narudia tena taarifa zote wanatakiwa kuwa aware nazo baadaye wanazifanyia screening na kuchukua za maana tu.
Kwa mantiki hiyo TISS wanashauri uteuzi wa nafasi nyeti ndani ya serikali, from no where mtu hawezi kupewa cheo cha CDF aongoze jeshi bila kufanyiwa vetting. No lazima wajiridhishe then wampitishe. Vivyo hivyo kwa IGP nk
TISS wapo kila mahali, iwe kanisani (kapilimba alikua mchungaji) msikitini, ikulu, shuleni nk. Kila penye watu wapo!
TISS imegawanyika sehemu kuu mbili. Kurugenzi ya mambo ya nje na ndani. Huko nje tuna mawakala kibao kamwe hatutowajua kwa macho!
TISS members wanapatikana kwa ujuzi wa hali ya juu sana, vetting huchukua hadi mwaka mzima. Nilipokua chuo yalinikuta haya... Kama isingekua.... Leo hii ningekua huko.
TISS ndo wanaratibu hata aina ya siasa na uongozi wa nchi, ndio wanaochezesha hata michezo michafu kama ile ya kina Zit...
TISS wanacheza sana na saikolojia za watu, propaganda kwao ni somo kule chuoni, kuna watu maalumu wapo kwenye vyombo vya habari, mitandaoni nk wakileta habari wanazotaka tusikie kwa malengo yao... Amini nakuambia!
TISS ni dubwana kubwa! Usidanganywe na neno 'idara' kisheria hawaruhusiwi kuendesha any operation lakini.... Pia wao kwa wao hawajuani maana kule unafanya kazi kwa amri na maelekezo kama utapewa kazi ya udukuzi utaifanya tu hata kama kwa mke wa rais
Sitaki nilinganishe vyeo vyao... Nataka ujue majukumu ya kazi zao.. Wengi hatumjui rais ajaye Ila miongoni mwao wanajua mda mrefu. Pia depo yao ile ya Siri pale ba... Sio mchezo! Pale ndo wanatoka PSU kwa ajili ya ulinzi wa viongozi, snipers wa kazi maalumu na wale wasiojul...
Sent using
Jamii Forums mobile app