KUTOKA KWA KING MSWATI: Kwenu wadadaz wa JF.

miss neddy hivi hujui michepuko anayofanya babako Arushaone ndio inaimarisha ndoa....? hebu kuwa mtulivu!
 
Last edited by a moderator:
 
Last edited by a moderator:
 
Last edited by a moderator:

hmmm! ba mkwe, hilo neno la mwano miss neddy, ni zito kwa kweli!

naomba nikamchape menyewe kwa bedroom! nadhani bado anakua... akifika kwenye peak period ataacha!!

unajua anaweza akasema kitu amabacho hajwahi kufanya ama hafanyi kabisa!!... mzoee tu mwanao!
 
Last edited by a moderator:
Naona mtu mzima mwenzangu umeamua Arushaone
 
Ndiyo tatizo la kulala chumba kimoja na watoto wakubwa;

 

eeeeeh...... Mume wanguuu, ndio nini kumuitia mwanangu umati wote huo utafikiri kuna maulidi...... Mwanangu nitamfunda mwenyewe kwa taarifa yako, ole wake atakae shika fimbo anichapie mwanangu ndio atajua leba nilienda kucheza sindimba au msondo....

Cc; miss neddy
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…