KUTOKA KWA KING MSWATI: Kwenu wadadaz wa JF.

KUTOKA KWA KING MSWATI: Kwenu wadadaz wa JF.

Binti yangu umesema wewe haya maneno? Michepuko noma!!!! Ngoja nikushtakie kwa wakubwa wanisaidie kukurekebisha. Nawaita kina Lady doctor Jawilat, nitonye, fyddell, mwekundu, Madame B, Kyalow, Heaven on Earth, Passion Lady, Lady Masa, Mwanyasi, LiverpoolFC, The Boss, Nicas Mtei, Chocs, Mentor, watu8, measkron, kobun, mathematics, Mzee, charminglady, Judgement, Excel, KOKUTONA, Mhariri, kerucee, Mamndenyi, Mr Rocky, kabanga, 24hrs, Asprin, Baba V, 'Valentina', uran, Arabela, tansoma ikibidi waje na fimbo wakuchape!
miss neddy hivi hujui michepuko anayofanya babako Arushaone ndio inaimarisha ndoa....? hebu kuwa mtulivu!
 
Last edited by a moderator:
Binti yangu umesema wewe haya maneno? Michepuko noma!!!! Ngoja nikushtakie kwa wakubwa wanisaidie kukurekebisha. Nawaita kina Lady doctor Jawilat, nitonye, fyddell, mwekundu, Madame B, Kyalow, Heaven on Earth, Passion Lady, Lady Masa, Mwanyasi, LiverpoolFC, The Boss, Nicas Mtei, Chocs, Mentor, watu8, measkron, kobun, mathematics, Mzee, charminglady, Judgement, Excel, KOKUTONA, Mhariri, kerucee, Mamndenyi, Mr Rocky, kabanga, 24hrs, Asprin, Baba V, 'Valentina', uran, Arabela, tansoma ikibidi waje na fimbo wakuchape![/QUOTE
Huyu miss neddy ana balaa mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Binti yangu umesema wewe haya maneno? Michepuko noma!!!! Ngoja nikushtakie kwa wakubwa wanisaidie kukurekebisha. Nawaita kina Lady doctor Jawilat, nitonye, fyddell, mwekundu, Madame B, Kyalow, Heaven on Earth, Passion Lady, Lady Masa, Mwanyasi, LiverpoolFC, The Boss, Nicas Mtei, Chocs, Mentor, watu8, measkron, kobun, mathematics, Mzee, charminglady, Judgement, Excel, KOKUTONA, Mhariri, kerucee, Mamndenyi, Mr Rocky, kabanga, 24hrs, Asprin, Baba V, 'Valentina', uran, Arabela, tansoma ikibidi waje na fimbo wakuchape![/QUOTE
Huyu miss neddy ana balaa mkuu.

Tumpe adhabu gani mkuu?
 
Last edited by a moderator:
Binti yangu umesema wewe haya maneno? Michepuko noma!!!! Ngoja nikushtakie kwa wakubwa wanisaidie kukurekebisha. Nawaita kina Lady doctor Jawilat, nitonye, fyddell, mwekundu, Madame B, Kyalow, Heaven on Earth, Passion Lady, Lady Masa, Mwanyasi, LiverpoolFC, The Boss, Nicas Mtei, Chocs, Mentor, watu8, measkron, kobun, mathematics, Mzee, charminglady, Judgement, Excel, KOKUTONA, Mhariri, kerucee, Mamndenyi, Mr Rocky, kabanga, 24hrs, Asprin, Baba V, 'Valentina', uran, Arabela, tansoma ikibidi waje na fimbo wakuchape!

hmmm! ba mkwe, hilo neno la mwano miss neddy, ni zito kwa kweli!

naomba nikamchape menyewe kwa bedroom! nadhani bado anakua... akifika kwenye peak period ataacha!!

unajua anaweza akasema kitu amabacho hajwahi kufanya ama hafanyi kabisa!!... mzoee tu mwanao!
 
Last edited by a moderator:
Ndiyo tatizo la kulala chumba kimoja na watoto wakubwa;

Binti yangu umesema wewe haya maneno? Michepuko noma!!!! Ngoja nikushtakie kwa wakubwa wanisaidie kukurekebisha. Nawaita kina Lady doctor Jawilat, nitonye, fyddell, mwekundu, Madame B, Kyalow, Heaven on Earth, Passion Lady, Lady Masa, Mwanyasi, LiverpoolFC, The Boss, Nicas Mtei, Chocs, Mentor, watu8, measkron, kobun, mathematics, Mzee, charminglady, Judgement, Excel, KOKUTONA, Mhariri, kerucee, Mamndenyi, Mr Rocky, kabanga, 24hrs, Asprin, Baba V, 'Valentina', uran, Arabela, tansoma ikibidi waje na fimbo wakuchape!
 
Binti yangu umesema wewe haya maneno? Michepuko noma!!!! Ngoja nikushtakie kwa wakubwa wanisaidie kukurekebisha. Nawaita kina Lady doctor Jawilat, nitonye, fyddell, mwekundu, Madame B, Kyalow, Heaven on Earth, Passion Lady, Lady Masa, Mwanyasi, LiverpoolFC, The Boss, Nicas Mtei, Chocs, Mentor, watu8, measkron, kobun, mathematics, Mzee, charminglady, Judgement, Excel, KOKUTONA, Mhariri, kerucee, Mamndenyi, Mr Rocky, kabanga, 24hrs, Asprin, Baba V, 'Valentina', uran, Arabela, tansoma ikibidi waje na fimbo wakuchape!

eeeeeh...... Mume wanguuu, ndio nini kumuitia mwanangu umati wote huo utafikiri kuna maulidi...... Mwanangu nitamfunda mwenyewe kwa taarifa yako, ole wake atakae shika fimbo anichapie mwanangu ndio atajua leba nilienda kucheza sindimba au msondo....

Cc; miss neddy
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom