Kutoka kwa Ontario; ujumbe wa manufaa kwa baadhi yetu



Karibu mkuu [emoji120]

Ni mtanzania mwenzetu kabisa!!
Kujitoa ni moyo tu Mkuu

Tuitikie wito kwa hili sasa!! Ndio hoja mkuu
 
kawombe Kuna kitu akipo sawa.naisi again hii ni ID ya huyo OTARIO ! Why asipost yeye mwenyewe??? Ameliza watu na hayo maforex yake,now anakuja kivingine...uwezi vuna hela kwa kuClick Maus ya Computer
Mkuu umewaza vema jamaa kaleta post y ontario halafu yeye ndo anakaribisha watu na kujibu maswali.
Multiple Id[emoji2] [emoji2]
 
kawombe Kuna kitu akipo sawa.naisi again hii ni ID ya huyo OTARIO ! Why asipost yeye mwenyewe??? Ameliza watu na hayo maforex yake,now anakuja kivingine...uwezi vuna hela kwa kuClick Maus ya Computer
[emoji1] [emoji1]
 
Ndo nani huyu
 
Utakuwa unamtafutia kiki sio bure
 
Huyu ni kijana wa kipekee sana hapa nchini Na mola atamjaalia,ila kuna haja ya kuchunguza uzao wake inawezekana ni mhamiaji .........maana hiyo silka ya kujitoa kwa ajili ya wengine sio maarufu sana hapa nchini
Unapotangaziwa fursa basi ujuwe wewe ndio fursa yenyewe.

Naona mmerudi kivingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…