Kutoka kwa Ontario; ujumbe wa manufaa kwa baadhi yetu

Kutoka kwa Ontario; ujumbe wa manufaa kwa baadhi yetu

Kutoa ni moyo na siyo utajiri kijana mwenzetu ameliona hili kua mwaka ndio kwanza unaanza.Ni bora kupambana mapema kabisa ju ya kesho yako ya mafanikio. Na katika maisha kushikwa mkono imo tena na mtanzania mwenzio.

Tumia hii kama fursa kabisa usingoje kesho anza sasa kwa better future yako. Kama wewe unaona haikufai wengine itawafaa tu.

Hapa nitakua na weka mabandiko yake kutoka uko aliko kwa sasa.
1987206371dce54dd97ad014cb7989bc.jpg

Karibuni sana tuko pamoja kwa wenye kujali kesho yao.


Karibu mkuu [emoji120]

Ni mtanzania mwenzetu kabisa!!
Kujitoa ni moyo tu Mkuu

Tuitikie wito kwa hili sasa!! Ndio hoja mkuu
 
kawombe Kuna kitu akipo sawa.naisi again hii ni ID ya huyo OTARIO ! Why asipost yeye mwenyewe??? Ameliza watu na hayo maforex yake,now anakuja kivingine...uwezi vuna hela kwa kuClick Maus ya Computer
Mkuu umewaza vema jamaa kaleta post y ontario halafu yeye ndo anakaribisha watu na kujibu maswali.
Multiple Id[emoji2] [emoji2]
 
Kutoa ni moyo na siyo utajiri kijana mwenzetu ameliona hili kua mwaka ndio kwanza unaanza.Ni bora kupambana mapema kabisa ju ya kesho yako ya mafanikio. Na katika maisha kushikwa mkono imo tena na mtanzania mwenzio.

Tumia hii kama fursa kabisa usingoje kesho anza sasa kwa better future yako. Kama wewe unaona haikufai wengine itawafaa tu.

Hapa nitakua na weka mabandiko yake kutoka uko aliko kwa sasa.
1987206371dce54dd97ad014cb7989bc.jpg

Karibuni sana tuko pamoja kwa wenye kujali kesho yao.
Ndo nani huyu
 
Kutoa ni moyo na siyo utajiri kijana mwenzetu ameliona hili kua mwaka ndio kwanza unaanza.Ni bora kupambana mapema kabisa ju ya kesho yako ya mafanikio. Na katika maisha kushikwa mkono imo tena na mtanzania mwenzio.

Tumia hii kama fursa kabisa usingoje kesho anza sasa kwa better future yako. Kama wewe unaona haikufai wengine itawafaa tu.

Hapa nitakua na weka mabandiko yake kutoka uko aliko kwa sasa.
1987206371dce54dd97ad014cb7989bc.jpg

Karibuni sana tuko pamoja kwa wenye kujali kesho yao.
Utakuwa unamtafutia kiki sio bure
 
Huyu ni kijana wa kipekee sana hapa nchini Na mola atamjaalia,ila kuna haja ya kuchunguza uzao wake inawezekana ni mhamiaji .........maana hiyo silka ya kujitoa kwa ajili ya wengine sio maarufu sana hapa nchini
Unapotangaziwa fursa basi ujuwe wewe ndio fursa yenyewe.

Naona mmerudi kivingine.
 
Back
Top Bottom