Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! Mpaka muda huu kuna Mwarabu mmoja tu! Na Mwarabu mwenyewe anaomba miungu yake yote asije akakuta mahali popote pale na Mamelodi Sundowns!Pia kutoka kwa Mick Jr. Timu zilizo qualify ni kama inavyoonekana hapo chini.
View attachment 2915217
Hesabu za vidole zinasema mnahitaji point ngapi na ma goal mangapi kuvuka..?Ila twendeni mbele na turudi nyuma..yani kwamba mlidhani Utopolo miaka nenda rudi haitakuja kuvuka makundi na kuingia robo? Lazima wakati ungefika na wakati wao ndo huu baada ya miaka kenda na kenda...ref mamelodeeee sound down...wana lunyasi sisi tuendelee tulipoishia tufe tupone tuingie robo tusishuke daraja...tutakutana at the top...
Hata ww unaweza kupiga mkuu...Hesabu za vidole zinasema mnahitaji point ngapi na ma goal mangapi kuvuka..?
Huku makolo walishapazoea labda nyie utopolo ndio mnaona jambo geni.Kumbe huku robo final kuna baridi hivi na makolo hamja tuambie tuje na masweta
Huku makolo walishapazoea labda nyie utopolo ndio mnaona jambo geni.
Wamechafukwa hata kwenye jukwaa la siasa ni wao tuKila ukienda uzi huu Uto haoo huku uto haooo...
Timu nyingine zilizo qualify kwa kulingana na CAF ni kama zinavyoonekana.
View attachment 2915206View attachment 2915209View attachment 2915212View attachment 2915215
Pacome ni mtu zaidi,aisee dribble zake hakabiki na humwangushi***** yanga kashinda, ila aisee pacoume na azizi ki ni wachezaji aisee
Tume wakuta na tuna wapita ..Hiyo raha manayosikia leo utopolo sisi tumeipata kwa misimu mitano.[emoji23][emoji23][emoji3577]
ww tulia wanaenda kupangiwa mame..simalizii bwana watalia bureIla twendeni mbele na turudi nyuma..yani kwamba mlidhani Utopolo miaka nenda rudi haitakuja kuvuka makundi na kuingia robo? Lazima wakati ungefika na wakati wao ndo huu baada ya miaka kenda na kenda...ref mamelodeeee sound down...wana lunyasi sisi tuendelee tulipoishia tufe tupone tuingie robo tusishuke daraja...tutakutana at the top...