Mr mutuu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2023
- 2,869
- 14,501
Huyu jamaa kumlinganisha na chama ni uhujumu uchumi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa kumlinganisha na chama ni uhujumu uchumi
Hiyo raha manayosikia leo utopolo sisi tumeipata kwa misimu mitano.😂😂✌️
Utopolo wapo vizuri, kwa timu waliyonayo hawana wasiwasi hata waje hao Mamelody watawapiga tu.ww tulia wanaenda kupangiwa mame..simalizii bwana watalia bure
Simba anahitaji ushindi wowote avuke, hata moja bila anapitaHesabu za vidole zinasema mnahitaji point ngapi na ma goal mangapi kuvuka..?
Aya, ongezeni dua sasa, hahaSimba anahitaji ushindi wowote avuke, hata moja bila anapita
Mapema sana tengenezeni consistency kama simba yaani kufika makundi inakuwa sio habari tena kwa misimu angalau mitatu mfululizo.Tume wakuta na tuna wapita ..
Consistency ni simba sio nyie bado mnapaswa kuendelea kuwa na muendelezo angalau misimu mitatu.consistency
Dua za nini sasa, Yanga alihitaji kushinda ili afuzu akafanya hivyo au mliomba dua?Aya, ongezeni dua sasa, haha
Consistency ni simba sio nyie bado mnapaswa kuendelea kuwa na muendelezo angalau misimu mitatu.
Safi Yanga 👏Timu nyingine zilizo qualify kwa kulingana na CAF ni kama zinavyoonekana.
View attachment 2915206View attachment 2915209View attachment 2915212View attachment 2915215
Mlifika shirikisho sio cafclSimba lini amefika fainali ya Caf ?
Mlifika shirikisho sio cafcl
Haina haja ya kuwekeza nguvu mkuu, game ya kutimiza tu ratiba hiyo, wacheze kina Nkane, Shehan n.k wapate uzoefuYanga ampige na Ahly mechi ya mwisho
Hahaaaaa
Mtasema mpaka mteme bungo mdomoni.
Shirikisho si ndo hili mwaka jana mlikuwa mnaita kombe la mbuzi?je shirikisho sio mashindano ya CAF ?