Kutoka kwenye Utajiri mpaka kuishi kwenye lindi la umasikini!

Namie nimesoma hapo hapo,kumbe wewe Ni mboyzia mwenzangu. Nimelala kimweri dormitory miaka yote minne.
Hata mimi, henzi hizo maadui wetu wakubwa ni Milambo, hahahaah can't forget those moments. Tulikuwa na mademu(Tabora girls) karibu lakini hawatutaki, si mchezo enzi hizo
 
Mwacheni yupo Kanisani akirudi ataendelea
 
T
Yakwanza tayari bora kama ni fupifupi hivi ntawahi kuzimaliza
 
Kweli Maisha ni kama gwaride!!

Naendelea ya 3πŸ™‡
 
Kuvuta bangi na kuberi!!
Naendelea..πŸ™‡
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…