Kumbe polisi wetu wakiamua wanawajibika, au kigezo ni mwarabu atawapa kitu kidogo? Ujambazi ukomeshwe!Sehemu ya 10
Tulienda mpaka Ipuli ambako ni nyumbani kwa shemeji yake na Madelagawisa ambaye ndio alituuzia mchongo. Tukazihesabu hela na zilikuwa milioni 40 kasoro.
Acha tantarira kama hujui kaa kimya, moshi academy ipo kibosho ambapo ilikuwa zamani saivi kunaitwa shanty town ni mjini now manispaEti Moshi Academy iko kibosho ??watoto wangu wamesoma hapo..shule iko karibu na maeneo ya stand ya mboya
huyu mwamba naona katuacha njia pandaShusha mzigo dingo
unaongelea ile international school iliyopo shantyAcha tantarira kama hujui kaa kimya, moshi academy ipo kibosho ambapo ilikuwa zamani saivi kunaitwa shanty town ni mjini now manispa
Hajui kwamba na sisi tumekulia maisha hayo hayo....Yan ni fimbo kwa kwenda mbeleKukatia mbuzi ndo unateseka?
Wa mangulwa huyu...hahMrombo haswa wewe,hahaahah
Maisha ulokulia wewe ni tofauti na yake..kama umesoma mwanzo kabisa...Hajui kwamba na sisi tumekulia maisha hayo hayo....Yan ni fimbo kwa kwenda mbele
Kajamaa ka kekalesi sanauletrisha kasi yeveelya umbe na mburu