Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana umemkubali jamaasumbai huwa unasoma simulizi? Karibu hii kali ya kiume haswaaa...
Jambazi mtu mbaya mchawi akasomeLeo ndio nimejua kwanini polisi wakikamata majambazi wanaua mazima hata kama waliweza kumkamata ni watu harari sana wasio na huruma
Uhoyele mukungu wane?sumbai huwa unasoma simulizi? Karibu hii kali ya kiume haswaaa...
Bangi wanachanganya na ugoro kukata Wenge, ukiusoma vizuri ubongo wa binadamu hivyo haviwezi kukupa shidaIweje wanavuta bangi kujitayarisha kwa mission?
Ukigundulika ukodakwa ni kifo yaan polisi hawafugi jambazi maabusu,Kumbe ujambazi nao mchongo...
tupeni mchongo tuwe mercenaries ,hali ngumu tuwe tu hata Ma Winter soldier
tukifa basiUkigundulika ukodakwa ni kifo yaan polisi hawafugi jambazi maabusu,
Mafian cartel ya kweli haya?tukifa basi
Eeh asa tufanyaje kama ndo Mungu kapangaMafian cartel ya kweli haya?
Inatakiwa wizi uwe digitalization saivi. Yaani unachukua shilingi moja kwa kila akaunti ya 🏦 na kwenye simu zote za watanzania. Niambie utakuwa una Bei gani kwa ujumla. Unaweza ukaweka mfumo kila mwezi ukawa unabeba hata Senti moja yaani 1/100 ya shilingi kwa wote wanaomiliki line zenye miamala na akaunti za benki utakuwa mbali mno. Weka kila mwezi ama quarterly wewew unadaka hizo pesa kwa miaka kumi wewe Ni bilioneaKwa hio unataka iingie kwenye chama Cha Poker na genge lake la kupiga watu mapanga na ujambazi wa kutumia silaha na kukwapua mamilioni
Sasa mwizi hua hataki kuiba shilling moja moja hua anataka kuiba mabulungutu yaan million zisomeke 500 au 800 hapo ndio mwizi anaelewaInatakiwa wizi uwe digitalization saivi. Yaani unachukua shilingi moja kwa kila akaunti ya 🏦 na kwenye simu zote za watanzania. Niambie utakuwa una Bei gani kwa ujumla. Unaweza ukaweka mfumo kila mwezi ukawa unabeba hata Senti moja yaani 1/100 ya shilingi kwa wote wanaomiliki line zenye miamala na akaunti za benki utakuwa mbali mno. Weka kila mwezi ama quarterly wewew unadaka hizo pesa kwa miaka kumi wewe Ni bilionea
Good idea Wacha tuingie kazini kakaInatakiwa wizi uwe digitalization saivi. Yaani unachukua shilingi moja kwa kila akaunti ya [emoji542] na kwenye simu zote za watanzania. Niambie utakuwa una Bei gani kwa ujumla. Unaweza ukaweka mfumo kila mwezi ukawa unabeba hata Senti moja yaani 1/100 ya shilingi kwa wote wanaomiliki line zenye miamala na akaunti za benki utakuwa mbali mno. Weka kila mwezi ama quarterly wewew unadaka hizo pesa kwa miaka kumi wewe Ni bilionea
Bitcoin huzioni cyptocurrency si unaijua huko ndiko zinakoibwa shilling moja moja ingia nimekupenyezeaGood idea Wacha tuingie kazini kaka
Tena inakuwa legal Kabisa it can be done.
Yaani mie ningesoma cs nadhani ninge speacilize kwenye hacking Basi Wala Sina Mambo mengi. Huwa nawaza niisome iyo kozi sema Naona mind sio Ile ya around 15-24 yrs.Good idea Wacha tuingie kazini kaka
Tena inakuwa legal Kabisa it can be done.