Kutoka kwenye Utajiri mpaka kuishi kwenye lindi la umasikini!

Kutoka kwenye Utajiri mpaka kuishi kwenye lindi la umasikini!

Kwa hio unataka iingie kwenye chama Cha Poker na genge lake la kupiga watu mapanga na ujambazi wa kutumia silaha na kukwapua mamilioni
Inatakiwa wizi uwe digitalization saivi. Yaani unachukua shilingi moja kwa kila akaunti ya 🏦 na kwenye simu zote za watanzania. Niambie utakuwa una Bei gani kwa ujumla. Unaweza ukaweka mfumo kila mwezi ukawa unabeba hata Senti moja yaani 1/100 ya shilingi kwa wote wanaomiliki line zenye miamala na akaunti za benki utakuwa mbali mno. Weka kila mwezi ama quarterly wewew unadaka hizo pesa kwa miaka kumi wewe Ni bilionea
 
Inatakiwa wizi uwe digitalization saivi. Yaani unachukua shilingi moja kwa kila akaunti ya 🏦 na kwenye simu zote za watanzania. Niambie utakuwa una Bei gani kwa ujumla. Unaweza ukaweka mfumo kila mwezi ukawa unabeba hata Senti moja yaani 1/100 ya shilingi kwa wote wanaomiliki line zenye miamala na akaunti za benki utakuwa mbali mno. Weka kila mwezi ama quarterly wewew unadaka hizo pesa kwa miaka kumi wewe Ni bilionea
Sasa mwizi hua hataki kuiba shilling moja moja hua anataka kuiba mabulungutu yaan million zisomeke 500 au 800 hapo ndio mwizi anaelewa

Mwizi ukimwambia aibe shilling moja mchezo wa YouTube view hakuelewi anaona unampotezea muda tu
 
Inatakiwa wizi uwe digitalization saivi. Yaani unachukua shilingi moja kwa kila akaunti ya [emoji542] na kwenye simu zote za watanzania. Niambie utakuwa una Bei gani kwa ujumla. Unaweza ukaweka mfumo kila mwezi ukawa unabeba hata Senti moja yaani 1/100 ya shilingi kwa wote wanaomiliki line zenye miamala na akaunti za benki utakuwa mbali mno. Weka kila mwezi ama quarterly wewew unadaka hizo pesa kwa miaka kumi wewe Ni bilionea
Good idea Wacha tuingie kazini kaka
Tena inakuwa legal Kabisa it can be done.
 
Good idea Wacha tuingie kazini kaka
Tena inakuwa legal Kabisa it can be done.
Yaani mie ningesoma cs nadhani ninge speacilize kwenye hacking Basi Wala Sina Mambo mengi. Huwa nawaza niisome iyo kozi sema Naona mind sio Ile ya around 15-24 yrs.
Kuna msela mmoja Ali hack wb so alipokuja kupatikana ndie akawa mkubwa ama bosi wa iyo mifumo aliyekuwepo akawekwa pembeni.

Yaani mie ningekuwa na mandate jambazi sugu akikamatwa anapewa kazi ya kitengo Cha kudhibiti majambazi sugu Mana Yuko field anaelewa kila chocho. Sasa wewe unampiga ole wako niiisikie tukio mahala.
 
Back
Top Bottom