Akhi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2021
- 3,380
- 5,906
Tatizo Bongo lako la kupenda Dhulma limekufikirisha ivoInakupa maendeleo vzr tu,shida bongo yako imetiwa hofu na dini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo Bongo lako la kupenda Dhulma limekufikirisha ivoInakupa maendeleo vzr tu,shida bongo yako imetiwa hofu na dini.
Mmeeqnza kuongea kiruga kisa simulizi ni ya huko kwenu auLasima uvyeelye mara ya umbe na mburu ukauya kaa..
Mimi Mkurya wewe, wapi nimeita deal? Kumuita mtu aje asome simulizi kosa? Utakuwa unaota rudi kulala...Utakuwa wewe ni mchagga! Kushabikia uporaji na kuita dili
Siku hizi Wanazo softwares hatari hatari kudakwa sio rahisi na ukiona kadakwa hajakwiva huyo sio mtabe,,tafuta story za lazarus hackers hao wakorea kaskazini Wana hack na kuiba billion dailyNa wasipokudaka imekula kwao, nakumbuka kipindi nipo Chuo kuna mtabe mmoja hacker alidukua website ya Chuo akajibadirishia matokeo hivi tunamuona, nilichoka, alafu jamaa alikua na kesi ya Cyber alipiga tukio na wenzake wakadakwa na cyber unit kwenye website ya Serikali kesi ikafikishwa mahakamani Ila alichomoka, yupo humu JF Ila sitomtaja
princess ariana anataka kuwa Mercenary ngoja ntamuunganisha na Cartel zetu aanze kupiga kaziMafian cartel ya kweli haya?
Angewekeza angekuwa mbali kweli Kama reast in peace dingi yake.sema kwa story yake jamaa alikuwa anatumbua pesa sana
Sio kweli, ebu niambie utajiri wa Wazungu na Waarabu umetokana na nini?Pesa ya dhulma haiwezi kukupa mafanikio mkuu
Yni akili yenyewe inajifunga usifikirie maendeleo kabisaa
Mungu hapendi dhulma Mkuu
Pesa hujaitolea jasho hlf ikupe maendeleo Never ever
Mkurya gani unashabikia chura badala ya mnyama wa Serengeti Simba ha haMimi Mkurya wewe, wapi nimeita deal? Kumuita mtu aje asome simulizi kosa? Utakuwa unaota rudi kulala...
Sijui nawewe hapa unafanya nini?
Ila weweKumbe ujambazi nao mchongo...
tupeni mchongo tuwe mercenaries ,hali ngumu tuwe tu hata Ma Winter soldier
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sisi tumeshawazoea, tumewaachia nyinyi mshangae shangae nao. Yanga ndiyo mambo yote. Huwezi kuwa mtoto wa mujini, halafu ushabikie wanyama wa porini.. 😎Mkurya gani unashabikia chura badala ya mnyama wa Serengeti Simba ha ha
Itapendeza sana mkuuprincess ariana anataka kuwa Mercenary ngoja ntamuunganisha na Cartel zetu aanze kupiga kazi
Hapo nmezungumzia bongo sio huko kwa wenyewe wenye teknolojia yaoSiku hizi Wanazo softwares hatari hatari kudakwa sio rahisi na ukiona kadakwa hajakwiva huyo sio mtabe,,tafuta story za lazarus hackers hao wakorea kaskazini Wana hack na kuiba billion daily
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Si rahisi kiasi hicho, lazima ujue jinsi mfumo wa bank husika ufanyavyo kazi, lazima ujue transactions hutumwa kwa kiwango gani kwa siku, kwa kutumia message ganiMfano una hack hela wakati zinatumwa kwenda kufichwa kanada ama China yaani una diverge router
Lazima uwe na host country, hackers wengi ambao hawashikwi ni affiliates wa Intel com za nchi husika ie Russia, Nkorea, China etcSiku hizi Wanazo softwares hatari hatari kudakwa sio rahisi na ukiona kadakwa hajakwiva huyo sio mtabe,,tafuta story za lazarus hackers hao wakorea kaskazini Wana hack na kuiba billion daily
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app