Kutoka kwenye Utajiri mpaka kuishi kwenye lindi la umasikini!

Kutoka kwenye Utajiri mpaka kuishi kwenye lindi la umasikini!

Na wasipokudaka imekula kwao, nakumbuka kipindi nipo Chuo kuna mtabe mmoja hacker alidukua website ya Chuo akajibadirishia matokeo hivi tunamuona, nilichoka, alafu jamaa alikua na kesi ya Cyber alipiga tukio na wenzake wakadakwa na cyber unit kwenye website ya Serikali kesi ikafikishwa mahakamani Ila alichomoka, yupo humu JF Ila sitomtaja
Siku hizi Wanazo softwares hatari hatari kudakwa sio rahisi na ukiona kadakwa hajakwiva huyo sio mtabe,,tafuta story za lazarus hackers hao wakorea kaskazini Wana hack na kuiba billion daily

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Pesa ya dhulma haiwezi kukupa mafanikio mkuu
Yni akili yenyewe inajifunga usifikirie maendeleo kabisaa
Mungu hapendi dhulma Mkuu

Pesa hujaitolea jasho hlf ikupe maendeleo Never ever
Sio kweli, ebu niambie utajiri wa Wazungu na Waarabu umetokana na nini?

Jamaa hawakudhulumu mali tu hata nafsi walidhulumu.
 
Mfano una hack hela wakati zinatumwa kwenda kufichwa kanada ama China yaani una diverge router
Si rahisi kiasi hicho, lazima ujue jinsi mfumo wa bank husika ufanyavyo kazi, lazima ujue transactions hutumwa kwa kiwango gani kwa siku, kwa kutumia message gani

Kwa Tz labda umanipulate ATM, usime camera, uondoe limit afu uanze kuzichukua.... Lazima uhusiane na ATM servicing personel.


Kingine huwezi fanikiwa kwa kuwa peke yako, lazima muwe watu wengi ili kufanikiwa iba

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Siku hizi Wanazo softwares hatari hatari kudakwa sio rahisi na ukiona kadakwa hajakwiva huyo sio mtabe,,tafuta story za lazarus hackers hao wakorea kaskazini Wana hack na kuiba billion daily

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Lazima uwe na host country, hackers wengi ambao hawashikwi ni affiliates wa Intel com za nchi husika ie Russia, Nkorea, China etc

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom