SEMA kwenye nyumba yako ya Ibada mnakosali wewe na Chadema wenzio ndio mnamtaja Sana shetani sisi CCM tinakosali shetani huwa hatajwi ibadani sababu ni mbaya na Biblia inasema ubaya usitajwe kwenu.Ibadani sisi humtaja Mungu tu.Mkuu hata shetani anatajwa sana kwenye nyumba za ibada, ila ni in a negative way. Ndio maana shetani akitajwa tu TBC wanakata matangazo.
Thus cdm waliwafukuza bwege alipokuwa akimwaga mistari wakakata sautiMkuu hata shetani anatajwa sana kwenye nyumba za ibada, ila ni in a negative way. Ndio maana shetani akitajwa tu TBC wanakata matangazo.
SEMA kwenye nyumba yako ya Ibada mnakosali wewe na Chadema wenzio ndio mnamtaja Sana shetani sisi CCM tinakosali shetani huwa hatajwi ibadani sababu ni mbaya na Biblia inasema ubaya usitajwe kwenu.Ibadani sisi humtaja Mungu tu
Huwezi sikia shetani akitajwa mdomoni mwa mtu
Ni mkutano wa kijiji cha Nandiende au kijiji gani? ACT unganisheni nguvu na CDM.Hili ndio Nyomi la Uzinduzi wa Mampezi za Kitaifa za Urais za Chama cha ACT Wazalendo....
Kuna mtu kanirushia picha:Nataka arushe picha zitto na abdul Nondo ndio nitaamini wengine wote mtatuhujumu tunajua ufipa hamtupendi ndio maana mkaweka mapingamizi ubungo!
Picha:Kuna mtu kanirushia picha:View attachment 1555794
Safii watu hawa ukijumlisha na wa lissu ccm inaondoka asubuhi kweupe!Kuna mtu kanirushia picha:View attachment 1555794
Baada ya hapo wanaenda MwandigaNimeangalia TBC ni aibu .Uzinduzi heri wangefanyia hata mwandiga kigoma Kuna watu kuliko Lindi kwa Membe
Yale mahudhurio ni kituko yameshusha CV ya Membe
lazima kumtaja SHETANI pale unapohubiri upendo!.CHADEMA wenyewe lazima wataje CCM na Magufuli vinginevyo mikutano yao inadoda.CCM na Magufuli ndio habari ya mjini
huna hojaMembe ni mwepesi na bahati mbaya hotuba yake inaonyesha ana bifu na JPM.
Kaongea kwa kujiwakilisha yeye kama mtu anayefaa zaidi kuliko rais wa sasa badala ya kuongea kama mtu anayeshawishi watu kwamba anafaa hata bila ya kuwepo mshindani mwingine kisiasa.
Ni wale wale wenye kupenda sifa za kuwa mwanadiplomasia mwenye kujikomba kwa wazungu.
Hili ndio Nyomi la Uzinduzi wa Mampezi za Kitaifa za Urais za Chama cha ACT Wazalendo.
Na naambiwa kuna Changamoto za Malipo ya Jukwaa mpaka sasa kwamba Jukwaa halijalipiwa sasa sijui Kweli [emoji2305] aaah[emoji23]
Vipi wazee!
wataweza Mziki wa CCM hawa ACT?
View attachment 1555458
View attachment 1555459
View attachment 1555460
View attachment 1555461
View attachment 1555462
View attachment 1555463
View attachment 1555464
View attachment 1555465
View attachment 1555466