[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo atajua hajui, maana hata ktk industry ya music atashuka mno. Wee subiri tyuuu.Yani hataaa Domo haoneshi mapenzi kabisa basi tu shobo .... mbona atajuta ni suala la muda tu
AISEEMbona hufanani na wivu?
JAY Z KAOA 2008 JAPO KWA SIRI SANAAcha wivu kijana tafuta hela, kwani kina Jayz hawajaoa?
UKO SAWAMakasiriko.com
Nakazia. Ukichanganya mapenzi na kazi, kuna uwezekano mkubwa kuharibu huko mbeleni.Kwa jinsi nilivyotazama Zuchu yupo kimkakati sana.na pia mzee baba kashavua nguo pale washajuana nyuchi wale.
Tena mwanadada anaonyesha alikamia kweli show.na hamuogopi kabisa bosi wake ,zamani kidogo nidhamu na heshima ilikuwepo kati yao.
Ndio madhara ya kuchanganya mapenzi na kazi.
Hakuna chochote kinachoendelea. It's business. TulipigwaNakazia. Ukichanganya mapenzi na kazi, kuna uwezekano mkubwa kuharibu huko mbeleni.
Si umeambiwa nyama utakuta chini!!Hahahaha iko wapi hiyo pete? Hahahaha
Kweli mlipigwaHakuna chochote kinachoendelea. It's business. Tulipigwa
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Kwahiyo hawa ni wapenzi au?