k-bee
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 966
- 1,084
Miaka ya 80Designer aliyomshonea hiyo nguo diamond inabidi alipwe Mara mbili yake na mimi nitangalia uwezekano wakumpata anishonee kwenye harusi yangu Mungu akipenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka ya 80Designer aliyomshonea hiyo nguo diamond inabidi alipwe Mara mbili yake na mimi nitangalia uwezekano wakumpata anishonee kwenye harusi yangu Mungu akipenda
Hivi Chifu na ile inshu ya Jamaa kuchungulia shimo alilotokea pia ni mojawapo ya masharti aliyopewa na wajenzi huru?Pete za umaarufu, utajiri hizo mkuu na kama unataka vita muulize kuhusu maana ya hizo pete au kathubutu kumvua uone
Yeye mwenyewe alishasema huniwezi kiserikali (that means anaamini serikali ameiweka mfukoni), huniwezi kipesa (anaamini pesa itafanya chochote), huniwezi kiuchawi (kumbe huwa hawamsingizii kuwa ni mchawi na free mason, nipe mkono kama huamini tushindane)
Mama mkwe ana maneno ya shombo+ kachoropoa mimba nyomiMmesema mengi, lakini mwajua Mama ya hako kabinti??? (Like Mother , Like daughter........wrong Number), Mimi singependa huyo awe mama Mkwe.......MWeeeeeee!!!
You must be joking. Mi nadhani angepewa tuzo ya fundi mbovuDesigner aliyomshonea hiyo nguo diamond inabidi alipwe Mara mbili yake na mimi nitangalia uwezekano wakumpata anishonee kwenye harusi yangu Mungu akipenda
Mbona umeandika hoja dhaifu sana...Huyu dogo anafanya haya yote kwa sababu ya harmonize na ali kiba na zaid wasanii wengine kama marioo wanatoa ngoma kali na zaidi wabongo saiv wanapagawa na nyimbo na wasanii wa kinaijeria na kila siku kuna nyimbo mpya
Sasa dogo lazima aje na kitu cha kupooza huo moto ili akae kwenye headlines.
Mala zote nikiona mada ya mtu anamuongelea mtu mwingine na maisha yake hua najiuliza sana kwamba huyu hana cha kufanya au ndo vijana mnao kula nyumbani,?Mambo si mambo...!!! New couple in town? Wacha tuendelee kunywa mtori , nyama tutazikuta chini
View attachment 2119674
View attachment 2119675View attachment 2119676
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona huyo huyo Dai kasema yeye na Zuchu sio couple ni mtu na msanii wake,tena baba na mtoto wake[emoji23][emoji23]
Umeishia la ngapi ? Jifunze maudhui ya hili jukwaa alaf uende jukwaa la ujasiriamaliMala zote nikiona mada ya mtu anamuongelea mtu mwingine na maisha yake hua najiuliza sana kwamba huyu hana cha kufanya au ndo vijana mnao kula nyumbani,?
Maana naanzaje kurusha vipicha vya watu eti wameshikana na kutengeneza mada isiyo fundisha chochote kwenye jamii isipokua kufatilia maisha ya mwingine yasiyo kuhusu
Afrika tutakufa masikini sana
Mbona hufanani na wivu?Ukishaelewa Masharti waliyopewa hutahangaika kunitolea povu
Acha wivu kijana tafuta hela, kwani kina Jayz hawajaoa?Za ndaaani kabisa nakupa hizo chukua....
Masharti ya vifungu vya mkataba wa Wajenzi huru...yanamkataza kufanya agano la ndoa...
Akiingia tu "agano la ndoa" basi ndio atasahaulika na kuporomoka umaarufu wake...Ameruhusiwa tu kuzalisha wanawake wowote awezavyo lakini kuoa asahau ndio maana unaona tangu aanze mahusiano hakuna yaliyodumu, anazalisha wanawake anawaacha Single mothers
NB: Sio lazima uamini saaana hizo za ndani
Makasiriko.comPete za umaarufu, utajiri hizo mkuu na kama unataka vita muulize kuhusu maana ya hizo pete au kathubutu kumvua uone
Yeye mwenyewe alishasema huniwezi kiserikali (that means anaamini serikali ameiweka mfukoni), huniwezi kipesa (anaamini pesa itafanya chochote), huniwezi kiuchawi (kumbe huwa hawamsingizii kuwa ni mchawi na free mason, nipe mkono kama huamini tushindane)
Zari zee zima kisa uafrikast wa kihindi, na Mali anazomiliki, na hata mbuyu ulianza Kama mchicha, acha mmatumbi apate raha. Na ustar uzid kupaa.Dogo karogwa si bure,unamuacha zari unaoa hiki macho kumchuzi kweli
Zari mzee ila yuko vizuri,haka kamacho kumchuzi mpaka kafike umri wa zari katakuwa ovyoZari zee zima kisa uafrikast wa kihindi, na Mali anazomiliki, na hata mbuyu ulianza Kama mchicha, acha mmatumbi apate raha. Na ustar uzid kupaa.
Kweli, nzur afrikast wa kihindiZari mzee ila yuko vizuri,haka kamacho kumchuzi mpaka kafike umri wa zari katakuwa ovyo
Kwanza shos unaona hata domo mwenyewe anawaza mapenzi nayee? Sio bidada ndo ana shobo dundo tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Binti anatumika tu masikini....anaona kapata kumbe napatikana...
Yani hataaa Domo haoneshi mapenzi kabisa basi tu shobo .... mbona atajuta ni suala la muda tuKwanza shos unaona hata domo mwenyewe anawaza mapenzi nayee? Sio bidada ndo ana shobo dundo tyuuh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]