Kutoka Mliman City, Diamond na Zuchu mahaba nje nje

Kutoka Mliman City, Diamond na Zuchu mahaba nje nje

Mke mzuri ni pambo la nyumba,ntaoa demu mbovu kama sina hela
Hapana si kwamba unaoa demu mbaya ila watu wengi wanaoa mademu wa kawaida kuliko wale wanaokuwa wanadate nao kwakuwa unakuta pisi kali last night nasubiri tu kuhongwa hata ukilioa halina ushauri wa maana zaidi ya kutaka simu kali kila toleo na kula bata
 
Hata mm nakapenda Sana ka zuchu kanaonekana kanajua sana mambo kitandani
Afu kabinti kenye maadiri

kuoa oa yoyote ila pisi ni zakupiga na kuacha

watu hawaelewi tu kuna pisi kali mno zinazopitiwa na diamond
 
Mmesema mengi, lakini mwajua Mama ya hako kabinti??? (Like Mother , Like daughter........wrong Number), Mimi singependa huyo awe mama Mkwe.......MWeeeeeee!!!
 
Huyu dogo anafanya haya yote kwa sababu ya harmonize na ali kiba na zaid wasanii wengine kama marioo wanatoa ngoma kali na zaidi wabongo saiv wanapagawa na nyimbo na wasanii wa kinaijeria na kila siku kuna nyimbo mpya

Sasa dogo lazima aje na kitu cha kupooza huo moto ili akae kwenye headlines.
Lame reason
So mtu asifanye any event kisa tu kuna wana wanatoa ngoma!?
Kila mtu ashinde mechi zake , so asubirie hao wasaniii wote siku waache kutoa ngoma ndio aanze kudate or kuorganize sn event??
 
Hapana si kwamba unaoa demu mbaya ila watu wengi wanaoa mademu wa kawaida kuliko wale wanaokuwa wanadate nao kwakuwa unakuta pisi kali last night nasubiri tu kuhongwa hata ukilioa halina ushauri wa maana zaidi ya kutaka simu kali kila toleo na kula bata
Pisi Kali ni kipengele haswaa...!! Zinahtaji pesa non stop, mpak ukute zinazojielewa nazo ni chache , Kwa nini ucheze pata potea kubahatisha pisi Kali inayojielewa wakat kuna kundi la kawaida linakusubir...
 
Diamond ana mahusiano na aaliyah uko kwa Zuchu kacheza na upepo wenu na kwenye Hili kafanikiwa kwa kiasi kikubwa kupiga hela za maana
Kapiga pesa zipi diamond kwa zuchu. Na wakati zuchu, diamond ni bosi wake
 
Kwa nini uoe demu mbovu,kuna mademu wana kila kitu,wazuri wa sura ,umbo, tabia,we kama umeoa demu mbaya shauri yako
Kila mtu ana preference yake usitake kila mtu awe na mtazamo kama wakwao wewe unayemuona mzuri mwingine kwake si mzuri na wewe unayemuona Mbaya kwa mwingine ni mzuri ishi humo
 
Tatizo masharti ya wajenzi huru yanambana Mondi, ameambiwa azalishe tu...No kuoa!
Kwani mwanaume yupo Diamond pekee asioa mbona Vunjabei pamoja na kuwa na pesa mpaka Leo hajaoa mbona uongei hayo masuala yako? Tuwache kuwa na fikra za kiwanga wanga
 
Pisi Kali ni kipengele haswaa...!! Zinahtaji pesa non stop, mpak ukute zinazojielewa nazo ni chache , Kwa nini ucheze pata potea kubahatisha pisi Kali inayojielewa wakat kuna kundi la kawaida linakusubir...
Kweli kabisa kuna hatari ya kuishi kwa stress. We si unaziona insta, hivi kweli hizo pisi katika hali ya akwaida unaiwekaje ndani, muda wote inawaza pga picha ikiwa viwanja!
 
Picha inazungumza mengi sana.
Baba is not in love kabisa yuko ki biashara zaidi. Ila mama amekuwa strategic akijisogeza sogeza kwa hila na ushawishi akitafuta love status. Kanaonekana king'ang'anizi lakini pia kinaonekana kinatumia hila na unafiki mwingi wa kichinichini ili kuolewa na mjukuu wangu Mondi.

BTW, ni kwa nini mlio karibu na huyo mtoto wakike msimshauri avae nguo za kujifunika kama mila yakwao ili angalau kuficha maumbile ya miguu yake? Nani alimwambia akikaa uchi anapendeeza?

Mondi umeona madhara ya kujifanya dume la mbegu? Sasa imekula kwako. Unaingizwa kwenye ndoana na wazenji, waliokubuhu kwa mambo yale, kwa lazima bila kujali hata kama mwali angelikuwa na miguu kama mihogo, ama sura kama mbegu na macho kama njegere pori.

Na hapo ndipo unafikia mwisho wa mziki na umaarufu wake. Wengine jifunzeni. Msijichanganye na wanawake wa uzenjini, ni balaa wale.
Kwa jinsi nilivyotazama Zuchu yupo kimkakati sana.na pia mzee baba kashavua nguo pale washajuana nyuchi wale.

Tena mwanadada anaonyesha alikamia kweli show.na hamuogopi kabisa bosi wake ,zamani kidogo nidhamu na heshima ilikuwepo kati yao.
Ndio madhara ya kuchanganya mapenzi na kazi.
 
Back
Top Bottom