Kutoka Mliman City, Diamond na Zuchu mahaba nje nje

Kutoka Mliman City, Diamond na Zuchu mahaba nje nje

Taaluma za baharini, kupima upepo na kuamrisha matukio. Unaweza kuwa msukule bila kujijua. Ogopa sana wanawake mashangingi wa location!.
Hivi wewe unaona mondi ni wa kuenda na hako kamtu, japo kalisoma upepo kakajilengesha na kupewa support? Uzito wa backup yake unakapa confidence na kama Mond hatajifambua, mwiso wake ni majuto makubwa sana kwa kwake na familia yake.
Ila Kale Katoto Kana Sura Tamu+Tabasamu Lake.
.
Kalipita mbele Yangu maana nilikuwa seat ya mbele ni pisi Kali mnooo Wa Kwetu.
.
Ugonjwa Wangu ni Aina ya wanawake Kama Zuuh, mm wanawake wanene Kwangu Hapana Mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila Kala Katoto Kana Sura Tamu+Tabasamu Lake.
.
Kalipita mbele Yangu maana nilikuwa seat ya mbele ni pisi Kali mnooo Wa Kwetu.
.
Ugonjwa Wangu ni Aina ya wanawake Kama Zuuh, mm wanawake wanene Kwangu Hapana Mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mm nakapenda Sana ka zuchu kanaonekana kanajua sana mambo kitandani
 
Ila Kale Katoto Kana Sura Tamu+Tabasamu Lake.
.
Kalipita mbele Yangu maana nilikuwa seat ya mbele ni pisi Kali mnooo Wa Kwetu.
.
Ugonjwa Wangu ni Aina ya wanawake Kama Zuuh, mm wanawake wanene Kwangu Hapana Mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
Utamu wa chakula mate yako. Wakati weewe unaona hivo, mwingine anaweza kuona uso unaumbile kama jiwe la kulainisha vyungu, macho kama mbegu, miguu kama nguzo za kichanja, na shape hiyo kwa sasa iko kama pears, akizaa atakuwa kama bear. Yote tisa, tabia za unafiki na u snitch, maneno ya kichini chini mengi, ndiyo tabu kubwa itakayosumbua hawa watu. Inawezekana unasema sahihi lakini kwa mond, siyo kabisa.
 
Utamu wa chakula mate yako. Wakati weewe unaona hivo, mwingine anaweza kuona uso unaumbile kama jiwe la kulainisha vyungu, macho kama mbegu, miguu kama meza ya kichanja, na shape hiyo kwa sasa iko kama pears, akizaa atakuwa kama bear. Yote tisa, tabia za unafiki na u snitch, maneno ya kichini chini mengi, ndiyo tabu kubwa itakayosumbua hawa watu. Inawezekana unasema sahihi lakini kwa mond, siyo kabisa.
Punguza Comment yenye machukizo. Tusipangiane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu dogo anafanya haya yote kwa sababu ya harmonize na ali kiba na zaid wasanii wengine kama marioo wanatoa ngoma kali na zaidi wabongo saiv wanapagawa na nyimbo na wasanii wa kinaijeria na kila siku kuna nyimbo mpya

Sasa dogo lazima aje na kitu cha kupooza huo moto ili akae kwenye headlines.
Mchawi kazini
 
Picha inazungumza mengi sana.
Baba is not in love kabisa yuko ki biashara zaidi. Ila mama amekuwa strategic akijisogeza sogeza kwa hila na ushawishi akitafuta love status. Kanaonekana king'ang'anizi lakini pia kinaonekana kinatumia hila na unafiki mwingi wa kichinichini ili kuolewa na mjukuu wangu Mondi.

BTW, ni kwa nini mlio karibu na huyo mtoto wakike msimshauri avae nguo za kujifunika kama mila yakwao ili angalau kuficha maumbile ya miguu yake? Nani alimwambia akikaa uchi anapendeeza?

Mondi umeona madhara ya kujifanya dume la mbegu? Sasa imekula kwako. Unaingizwa kwenye ndoana na wazenji, waliokubuhu kwa mambo yale, kwa lazima bila kujali hata kama mwali angelikuwa na miguu kama mihogo, ama sura kama mbegu na macho kama njegere pori.

Na hapo ndipo unafikia mwisho wa mziki na umaarufu wake. Wengine jifunzeni. Msijichanganye na wanawake wa uzenjini, ni balaa wale.
Mtuache wa znz. Ni watu tunaojali hayo mengine uliyoyaweka humu ni uzushi tu. Kwa maelezo ya watu zuchu anajua sana kupika
 
Mtuache wa znz. Ni watu tunaojali hayo mengine uliyoyaweka humu ni uzushi tu. Kwa maelezo ya watu zuchu anajua sana kupika
Kujua kupika hiyo ni agenda yako. Hatakivyo kupika, hakumfanyi kuwa na sura, wala umbile zuri. Kama unanijibu,jibu habari ya sura yake, shingo tumbo miguu macho na u snitch wake.
 
Back
Top Bottom